Tuesday, March 17, 2026
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English English Kiswahili Kiswahili
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • English English
  • Kiswahili Kiswahili
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

RAIS SAMIA AZIDI KUFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI NCHINI

TANZANIA>> Ina fursa kubwa kiuchumi likiwamo soko la Afrika Mashariki, SADC

admin by admin
June 14, 2022
in Habari Kitaifa
0 0
0
RAIS SAMIA AZIDI KUFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI NCHINI

RAIS Samia Suluhu Hassan

0
SHARES
104
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema tangu alipoingia madarakani msisitizo wa sera yake katika uwekezaji, sekta binafsi ndiyo itafanya biashara na serikali itabakia kusimamia sera za kuwajengea mazingira rafiki wawekezaji.

Amewahakikishia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kuendelea kuwekeza nchini kutokana na uwepo wa fursa muhimu kibiashara ikiwemo utawala bora.

Akizungumza katika kongamano la wafanyabiashara wa Oman na Tanzania akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchini humo, Rais Samia alisema Tanzania ni eneo salama kwa uwekezaji.

“Tangu nilipoingia madarakani sera yangu ni kwamba, iache serikali iongoze na sekta binafsi ifanye biashara. Ninamaanisha hakuna biashara zaidi kwa serikali, sekta binafsi ndio itafanya biashara na serikali tutaweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kufanyabiashara Tanzania.

Hiyo ndio sera yangu,” alisisitiza Rais Samia. Katika hotuba yake, alisema uwekezaji baina ya mataifa hayo mawili umeendelea kuinufaisha Tanzania ambapo hadi Aprili mwaka huu, ulifikia thamani ya dola milioni 308 na kutengeneza ajira zaidi ya 240,000 katika sekta ya kilimo, biashara, ujenzi, rasilimali watu, utalii, usafirishaji, mawasiliano na miundombinu.

Alisema Tanzania inathamini juhudi za uwekezaji zenye kuleta maendeleo ya kiuchumi na ajira kwa kuendelea kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji kibiashara.

“Nafahamu kulikuwa na baadhi ya changamoto, lakini amini maneno yangu naendelea kusahihisha yale yaliyotokea kabla, tunakwenda kufanyakazi, biashara, uwekezaji pamoja katika nchi zetu,” alieleza.

Rais Samia alisema wafanyabiashara wa Oman wanapaswa kuwekeza Tanzania kwa sababu mbalimbali muhimu ikiwemo uhusiano wa kiutamaduni na kidugu uliodumishwa miaka mingi.

“Huwezi kuharibu biashara ya ndugu yako, kunaweza kuwepo kwa changamoto lakini huwezi kuharibu. Sisi ni kaka na dada. Historia yetu inaanzia tangu karne ya 19,” alisema.

Aliitaja sababu ya pili inayowafanya wafanyabiashara wa Oman kuwekeza nchini ni uwepo wa amani, utulivu, utawala bora na mazingira rafiki ya kuwekeza.

“Mimi ni kiongozi wa nchi, naongea kutoka ndani ya kinywa changu kwamba tuna utawala bora, njooni muwekeze,” Rais Samia alisisitiza.

Alisema Tanzania ni mwanachama wa mikataba na jumuiya za kimataifa ambazo ni Africa Trade Insurance Agencies, Multilateral Investment Guarantee Agencies, Swiss based International Centre for Settlement Investment Dispute, ambapo kutokana na uanachama huo kunawahakikishia usalama wafanyabiashara katika uwekezaji wao endapo kukitokea tofauti kuna mahali kwenda kutaka usuluhishi.

Katika jitihada hizo, alieleza Tanzania imeendelea kuzuia vikwazo vya uwekezaji kwa kuhamasisha mazingira mazuri ya kufanya biashara, ikiwemo suala la utozaji kodi mara mbili.

Alibainisha uwepo wa sera imara za kiuchumi, kumeifanya Tanzania iwe miongoni mwa mataifa ambayo uchumi wake unakua kwa kasi barani Afrika.

Alieleza kwa mujibu wa ripoti ya dunia ya masuala ya uwekezaji ya mwaka 2021, inaeleza licha ya uwepo wa athari za kiuchumi zilizosababishwa na ugonjwa wa Uviko-19, Tanzania uchumi wake umeendelea kukua hivyo kuongoza katika ukanda wa Afrika Mashariki na kutoa taswira nzuri kwa wawekezaji wa kigeni.

Rais Samia alieleza Tanzania ina fursa kubwa kiuchumi kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yenye watu zaidi ya milioni 300 na mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) yenye watu milioni 500.

“Tanzania ni mlango wa nchi zote za Afrika kama ukifanya biashara Tanzania, ukiwekeza maana yake utafanya biashara na eneo lote la Afrika. Tuna nguvu kazi ya kutosha, idadi ya watu Tanzania wengi ni vijana kati ya asilimia 65 ya watu waliopo. Tuna nguvu kazi yenye taaluma za kati, kuna taasisi za kifedha ambazo zinatoa mikopo ya mitaji kufanyabiashara,” alieleza.

MIRADI MIKUBWA

Rais Samia alisema inafahamika uwekezaji unahitaji miundombinu, hivyo Tanzania inatekeleza miradi mikubwa ya kiuchumi ya kimkakati kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ambayo itaunganisha mataifa ya Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Kuhusu nishati ya umeme, alisema kuna ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha umeme kwa nguvu ya maji, ambapo zaidi ya megawati 2,000 zitazalishwa na ujenzi wake utakapokamilika jumla ya megawati zitakazozalishwa nchini zitafikia 10,000 hivyo kuwepo uhakika wa nishati hiyo.

Akizungumzia miradi ya maji, alieleza serikali inaendelea kutekeleza miradi hiyo katika maeneo mbalimbali ya nchi na ifikapo mwaka 2025, upatikanaji maji vijijini utafikia asilimia 85 na mijini itakuwa asilimia 95. Vilevile, alisema serikali inatarajia kujenga bandari ya uvuvi mkoani Lindi kwa lengo la kuongeza uwekezaji katika sekta ya uvuvi.

ATAJA FURSA ZILIZOPO

Katika kongamano hilo Rais Samia alitangaza baadhi ya fursa za uwekezaji ambazo Oman wanaweza kuzitumia kuwekeza nchini.

Alitaja fursa hizo ni kilimo cha mazao ya biashara na chakula hususan alizeti, ufugaji na uvuvi wa bahari kuu na maziwa.

Fursa zingine ambazo Rais Samia alizitaja ni uwepo wa madini ya dhahabu, Tanzanite na uzalishaji gesi asilia ambao kupitia mradi wa uzalishaji gesi asilia itakayosindikwa kisha kuuzwa kama kimiminika (LNG) katika masoko ya nje, pindi utakapoanza Tanzania itaongoza Afrika kwa uzalishaji huo.

Pia, alisema yapo maeneo ya uwekezaji kitalii visiwani Zanzibar na ujenzi wa hoteli kwani zilizopo bado hazitoshi.

Eneo lingine alilolitaja ni usafirishaji majini, kwani bado eneo hilo linahitaji uwekezaji mkubwa kuwezesha biashara zaidi baina ya Tanzania na Oman kusafirishwa pande zote.

LENGO LA ZIARA YAKE

Rais Samia alieleza ziara yake nchini Oman ina lengo la kuimarisha uhusiano wa kihistoria wa kidugu baina ya nchi hizo, kwani Oman imekuwa rafiki wa kweli kwa kutoa msaada wenye thamani kwa wananchi wa Tanzania.

Alisema ziara yake imekusudia kuhamasisha zaidi uwekezaji na uhusiano wa kibiashara kwani hakuna nchi nyingine duaniani ambayo watu wake wana uhusiano wa damu na watu wa Tanzania kama Oman na ndio nchi pekee nje ya Afrika ambayo lugha ya Kiswahili inazungumzwa kwa wingi.

“Rasilimali zilizopo katika nchi hizi mbili ni muhimu zikatumika katika kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi kwa maendeleo ya watu wetu, biashara baina ya Tanzania na Oman zilianza karne iliyopita na imeendelea kuimarika kila kukicha.

Aliongeza kuwa: “Miaka minne iliyopita kulifanyika kongamano la kibiashara baina ya Oman na Tanzania, kinachoshuhudiwa sasa ni maendeleo ya biashara baina ya sekta binafsi. Biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Oman inaendelea kukua licha ya mizani kutokuwa sawa, hivyo jitihada zaidi zinapaswa kufanyika kuimarisha mizania hiyo.”

Rais Samia alisema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, wastani wa thamani za bidhaa za Tanzania zilizouzwa kwenda Oman ilikuwa dola milioni 600, ambapo bidhaa zilizouzwa kutoka Oman kwenda Tanzania zilikuwa na thamani ya wastani wa dola milioni 105.

“Kuna mengi tunayopaswa kufanya kuongeza kiwango cha biashara kwa sababu takwimu zilizopo hazina mizania sawa. Kwa sababu Tanzania bado kuna fursa zaidi ya kuleta bidhaa Oman,” alisisitiza.

Kwa upande wake, Waziri wa Biashara, Viwanda na Uwekezaji wa Oman, Qias bin Mohammed Al Youseif, alisema mkutano huo ni mkubwa kushuhudia tangu kutokea janga la Uviko-19.

Alisema Tanzania ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yaliyopata maendeleo makubwa kutokana na usimamizi mzuri wa rasilimali, ujenzi wa miundombinu na uboreshaji elimu.

“Tunakupongeza Mheshimiwa Rais kwa mafanikio hayo, tuna imani tutajadiliana namna bora ya kuimarisha zaidi biashara na uwekezaji kwa maendeleo ya watu wetu hususan sekta za kilimo, uvuvi, miundombinu, madini na utalii,” alisema.

NA MUSSA YUSUPH

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akimshuhudia Waziri wa Nishati, January Makamba, wakati akiweka Saini Mkataba wa Makubaliano kwenye masuala ya Nishati (Oil and Gas) kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Oman kupitia Wizara ya Nishati na Madini (Sekta ya Madini) ya nchi hiyo katika hafla iliyofanyika Al Bustan, Muscat nchini Oman Juni 13, 2022.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akimshuhudia Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, akiweka Saini Mkataba wa Makubaliano kwenye Sekta ya Elimu ya Juu pamoja na Serikali ya Oman katika hafla iliyofanyika Al Bustan, Muscat nchini Oman Juni 13, 2022.
MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Shariff Ali Shariff, akisaini Mkataba wa Makubaliano pamoja na Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Oman (OIA) kuhusu Mashirikiano ya kutangaza Uwekezaji baina ya nchi mbili kushirikiana katika kupata uzoefu na kusaidiana katika uwezeshaji wa kiteknolojia na Mafunzo iliyowakilishwa Naibu Mtendaji Mkuu wa (OIA) Mulham Basheer Al Jaraf Juni 13, 2022.
MKATABA wa Makubaliano katika ya Jumuiya ya Watoa huduma katika Sekta ya mafuta na Gesi (AGAS) na Jumuiya ya watoa huduma katika sekta ya mafuta na gesi Zanzibar ZAOGAS pamoja na Jumuiya ya watoa huduma za Mafuta kutoka Oman (OPAL) katika hafla iliyofanyika Muscat Oman Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chemba ya Biashara ya Zanzibar Ali Amour, katikati ni Mwenyekiti wa ATOG Balozi Abdulsamad Abdulrahim na kwa upande wa Oman ni Mkurugenzi Mtendaji wa OPAL Abdulrahman Al Yahya.
admin

admin

Stay Connected test

  • 138 Follower
  • 205k Subscriber
  • 23.9k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

August 7, 2023
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

0
WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

0

OFISA ELIMU, MHANDISI, MKUU WA SHULE WAKALIA ‘KUTI KAVU’

0
STENDI YA ZAMANI UBUNGO  KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

STENDI YA ZAMANI UBUNGO KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

0

Fire Joker Tragamonedas Juego tragamonedas Kronos Sin cargo En internet

March 17, 2026

Superiores Casinos En internet 2026 Hace el trabajo En Camino joviales Recursos Dolphins Pearl Deluxe sin depósito giros gratis Real

March 17, 2026

Eye of Horus verbunden: Jetzt gratis zum besten geben & Maklercourtage starburst Online -Slot sichern!

March 17, 2026

96 31% RTP, 10.000x Max Win roman legion $ 1 Kaution Demonstration & Echtgeld

March 17, 2026

Recent News

Fire Joker Tragamonedas Juego tragamonedas Kronos Sin cargo En internet

March 17, 2026

Superiores Casinos En internet 2026 Hace el trabajo En Camino joviales Recursos Dolphins Pearl Deluxe sin depósito giros gratis Real

March 17, 2026

Eye of Horus verbunden: Jetzt gratis zum besten geben & Maklercourtage starburst Online -Slot sichern!

March 17, 2026

96 31% RTP, 10.000x Max Win roman legion $ 1 Kaution Demonstration & Echtgeld

March 17, 2026
Instagram Youtube Twitter Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 13
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • casino online
  • Casino UK
  • casino utan svensk licens
  • casino1
  • casino4
  • climatica.org.uk
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • Gry
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • News
  • Nos partenaires
  • Online Kasyno
  • Post
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • S Post
  • SIASA
  • Spinathlon
  • Sports
  • test
  • Uncategorized
  • www.kuss.cl

Recent News

Fire Joker Tragamonedas Juego tragamonedas Kronos Sin cargo En internet

March 17, 2026

Superiores Casinos En internet 2026 Hace el trabajo En Camino joviales Recursos Dolphins Pearl Deluxe sin depósito giros gratis Real

March 17, 2026

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In