Tuesday, March 17, 2026
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English English Kiswahili Kiswahili
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • English English
  • Kiswahili Kiswahili
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

CCM YAGUSWA NYONGEZA YA MISHAHARA KWA WATUMISHI

>> Yampongeza Rais Samia kwa hatua hiyo na malipo ya mkupuo ya pensheni kwa wastaafu

admin by admin
May 16, 2022
in Habari Kitaifa
0 0
0
CCM YAGUSWA NYONGEZA YA MISHAHARA KWA WATUMISHI

RAIS Samia Suluhu Hassan

0
SHARES
201
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuridhia ongezeko la mishahara na kupandishwa kwa malipo ya mkupuo ya pensheni kwa wastaafu.

Uamuzi wa kupandisha mishahara ikiwa ni pamoja na kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3, ambao umefanyika kwa kuzingatia taratibu za mwenendo wa uchumi, pia ule wa kuelekeza kukamilishwa kwa taratibu za kisheria kuhakikisha malipo ya mkupuo ya wastaafu yanapandishwa kutoka asilimia 25 hadi asilimia 33.

CCM imetoa pongezi hizo ikiwa ni siku moja, baada ya Rais Samia kuridhia mapendekezo ya nyongeza ya kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3, hatua ambayo inatekeleza ahadi yake aliyoitoa Mei mosi, mwaka huu katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kutiwa saini na Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, ilisema huo ni mwendelezo wa hatua kadhaa zinazoendelea kuchukuliwa na serikali ya CCM awamu ya sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kuboresha maslahi na stahiki za wafanyakazi nchini.

Ilisema tayari serikali ilishapunguza kodi ya mapato katika mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kutoka asilimia 9 hadi 8, kufuta tozo ya kulinda thamani ya mkopo ya asilimia sita kwa wanufaika wa mikopo elimu ya juu wakati wa marejesho na upandishwaji wa madaraja kwa kuzingatia miundo ya utumishi wa kada mbalimbali.

“Hatua zote hizi ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 -2025, ibara ya 130, ukurasa wa 180-181. Aidha nyongeza ya mishahara ni utekelezaji wa ahadi ambayo Rais Samia Suluhu Hassan aliitoa kwa wafanyakazi kupitia hotuba yake kwa taifa Siku ya Wafanyakazi Duniani kuwa Jambo lao lipo na linafanyiwa kazi,” alisema.

Taarifa hiyo ilisema utekelezaji wake umedhihirisha jinsi Rais Samia alivyo kiongozi msikivu, anayejali wananchi wake, muungwana wa vitendo na zaidi yuko imara kuhakikisha Serikali ya CCM anayoiongoza, inaendelea kuwa tumaini la watu kwa kugusa maisha yao kwa namna chanya.

Pia, uamuzi wa nyongeza ya mishahara na malipo ya mafao kwa mkupuo umefikiwa baada ya kuwepo majadiliano yaliyohusisha serikali na wadau wanaohusika vikiwemo vyama vya wafanyakazi kupitia Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE).

“Mchakato huu umeendelea kuithibitishia dunia kwamba uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni shirikishi na wenye uwazi sifa ambazo ndio msingi wa utawala bora,” ilisema.

Chama kinatoa wito kwa wafanyakazi nchini kuendelea kuiunga mkono serikali, kushikamana, kufanya kazi kwa bidii, uzalendo na weledi ili kuleta tija zaidi katika maendeleo ya nchi.

WACHUMI, WASOMI, WAFANYAKAZI WANENA

Wachumi, wasomi, wafanyakazi na wananchi wa kawaida, walisema ongezeko hilo la mshahara wa asilimia 23.3 inakwenda kuinua uchumi wa nchi na kwa mwananchi mmoja mmoja.

Walisema nyongeza hiyo inakwenda kuinua kipato cha mfanyakazi na mwananchi wa kawaida hususan mfanyabiashara mdogo, ambaye pato lake linakwenda kuongezeka.

Akizungumza na UHURU, Mkuu wa Idara wa Uchumi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT), Dk.Timoth Lyanga, alisema, ongezeko la mshahara wa asilimia 23.3 unakwenda kuinua hali ya maisha ya mfanyakazi wa kima cha chini.

Dk. Lyanga alisema licha ya mfanyakazi wa kima cha chini anakwenda kupata manufaa katika mshahara huo, pia mwananchi wa kawaida naye anakwenda kufaidika na nyongoza iliyotolewa na Rais Samia.

“Kutokana na nyongeza hiyo mfanyakazi anakwenda kupata ziada ya mshahara wake, ambao ataufanyia mambo mengine ya kimaendeleo.

Alisema kutokana na nyongeza hiyo ya mshahara mfanyabiashara mdogo anakwenda kufaidika kwa sababu kama mfanyakazi alikuwa ananunua machungwa matano, lakini sasa atanunua machungwa 10.

“Hii nyongeza ya mshahara iliyotolewa na Rais Samia ina faida katika pande zote, hivyo inatakiwa kuendelea kumuunga mkono ili jitihada zaidi ziendelee kufanyika,” alisema.

Dk.Lyanga alisema nyongeza hiyo inakwenda kumuinua mfanyakazi kwa namna mbalimbali, ikiwemo hata kwenye suala la mikopo ya benki.

“Mfanyakazi aliyekuwa akikopa mshahara wa sh.milioni tano hivi sasa anaweza kukopa hadi sh.milioni saba, sasa hapo ndipo uchumi wa mtu unapoongezeka kwa sababu fedha hiyo anakwenda kuifanyia maendeleo ya kiuchumi, ikiwemo kuanzisha miradi mbalimbali ya uzalishaji mali na watu wengine kupata ajira,” alisema.

Hata hivyo, aliiomba serikali iendelee kuwadhibiti wafanyabiashara katika upandishaji wa bidhaa.

“Kwenye hili wafanyabiashara wasione ni fursa ya kupandisha bei ya  bidhaa zao kiholela,” alisema.

Naye, msomi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk.Sylvester Rugeihyamu, alisema Rais Samia ametimiza kauli yake ya kusema kuwa anawajali wafanyakazi na Wwatanzania kwa ujumla.

Dk. Rugeihyamu alisema nyongeza ya mshahara huo utawafanya wafanyakazi wafanye kazi kwa bidii kwa ajili ya kuleta maendeleo nchini.

“Ni vizuri Rais Samia ameongeza nyongeza hiyo ya mshahara kwa sababu atakuwa ametoa joto kali walilokuwa nalo wafanyakazi kwa kipindi kirefu,” alisema Dk. Rugeihyamu.

Alisema nyongeza hiyo ya mshahara inakwenda kuondoa gharama za maisha alizokuwa anapata mfanyakazi wa kima cha chini.

Mwalimu Fausta Nyako, alisema Rais amefuta kilio chao cha muda mrefu.

“Rais amefuta kilio chetu cha muda mrefu, lakini na sisi tunatakiwa tushirikianae naye katika kufanya kazi kwa bidii ili uchumi wa nchi uzidi kuongezeka,” alisema Fausta.

Mwajuma Shabani ni mwananchi wa kawaida anasema nyongeza hiyo ya mshahara haifaidishi mfanyakazi peke yake hata yeye mjasiriamali anafaidika.

“Na sisi wajasiriamali tumefaidika na nyongeza aliyoitoa Mama kwa sababu wateja wataongezeka katika biashara yangu,” alisema.

Katibu wa Taasisi  ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, Sheikh Mohamed Iddi, alimpongeza Rais  Samia  kwa  kupandisha  mishahara ya  kima cha china kwa  waumishi wa umma  kwa nyongeza ya asilimi 23.3 na kupunguza baadhi ya kodi za makato kwa wafanyakazi.

Alisema Rais Samia ametekeleza ahadi hiyo aliyoitoa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei mosi, mwaka huu kwa utaalamu mkubwa, kwani halikufanyika kwa kipindi cha miaka sita.

Iddi alisema Rais Samia ameshughulikia kikamilifu upandaji wa bei ya mafuta, kuunda kamati ya kutatua changamoto za kisiasa, kutangaza utalii.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi(UWT) Mkoa wa Njombe, Scolastika Kevela, amempongeza Rais Samia kwa kupandisha mishahara ya wafanyakazi nchini na hivyo kumaliza kilio chao cha muda mrefu.

Scolastika ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Yono Auction Mart,  alisema hatua hiyo ya Rais Samia ni utekelezaji wa ahadi aliyokuwa ameitoa wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani, ambapo pamoja na mambo mengine, aliahidi kuongeza kima cha mishahara kwa wafanyakazi jambo ambalo lilikuwa kilio chao kwa muda mrefu.

“Rais Samia Suluhu Hassan kwa hili anastahili pongezi nyingi sana, amedhihirisha wazi wazi yeye ni mama mwenye malezi mazuri na ujali kwa wanawe, madai ya nyongeza ya mishahara ilikuwa kilio cha miaka mingi nchini, kwetu sisi UWT Mkoa wa Njombe tunasema hana baya,” alisema.

Na WAANDISHI WETU

admin

admin

Stay Connected test

  • 138 Follower
  • 205k Subscriber
  • 23.9k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

August 7, 2023
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

0
WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

0

OFISA ELIMU, MHANDISI, MKUU WA SHULE WAKALIA ‘KUTI KAVU’

0
STENDI YA ZAMANI UBUNGO  KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

STENDI YA ZAMANI UBUNGO KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

0

Zapewnic bezpieczny i ochrone na rzecz wszelkich uzytkownikow, Energy wymagan, abys przeszedl tok weryfikacji

March 17, 2026

Opierania sie na nacisnieciu klawisza �Automaty� na gornym panelu kochanek to zrobi otworzyc przegladarke komputerow

March 17, 2026

Gra online stolowe i gra wideo na zywo – wtyczka oraz losowania na kasynie przetrzymaj

March 17, 2026

Excelentes mejor Bingo en línea por dinero real casinos para juguetear cinco Reel Drive Ranking y no ha transpirado reseñas actualizadas

March 17, 2026

Recent News

Zapewnic bezpieczny i ochrone na rzecz wszelkich uzytkownikow, Energy wymagan, abys przeszedl tok weryfikacji

March 17, 2026

Opierania sie na nacisnieciu klawisza �Automaty� na gornym panelu kochanek to zrobi otworzyc przegladarke komputerow

March 17, 2026

Gra online stolowe i gra wideo na zywo – wtyczka oraz losowania na kasynie przetrzymaj

March 17, 2026

Excelentes mejor Bingo en línea por dinero real casinos para juguetear cinco Reel Drive Ranking y no ha transpirado reseñas actualizadas

March 17, 2026
Instagram Youtube Twitter Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 13
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • casino online
  • Casino UK
  • casino utan svensk licens
  • casino1
  • casino4
  • climatica.org.uk
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • Gry
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • News
  • Nos partenaires
  • Online Kasyno
  • Post
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • SIASA
  • Spinathlon
  • Sports
  • test
  • Uncategorized
  • www.kuss.cl

Recent News

Zapewnic bezpieczny i ochrone na rzecz wszelkich uzytkownikow, Energy wymagan, abys przeszedl tok weryfikacji

March 17, 2026

Opierania sie na nacisnieciu klawisza �Automaty� na gornym panelu kochanek to zrobi otworzyc przegladarke komputerow

March 17, 2026

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In