Wednesday, March 18, 2026
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English English Kiswahili Kiswahili
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • English English
  • Kiswahili Kiswahili
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

KISHINDO CHA SIKU 365 ZA RAIS SAMIA

admin by admin
March 19, 2022
in Habari Kitaifa
0 0
0
KISHINDO CHA SIKU 365 ZA RAIS SAMIA

RAIS Samia Suluhu Hassan

0
SHARES
195
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

LEO ni siku ya 365 zinazounda mwaka mmoja tangu Rais Samia Suluhu Hassan, aapishwe kushika wadhifa wa urais, huku maeneo ya usawa wa jinsia, elimu na afya, yakitajwa kuwa vielelezo vya ufanisi katika uongozi wake.

Ilikuwa Machi 19, 2021, alipoteuliwa kushika wadhifa huo baada ya kifo cha mtangulizi wake Hayati Dk. John Magufuli kilichotokea Machi 17, mwaka jana.

Kuapishwa kwake kuwa rais kumemfanya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa nchi tangu uhuru wa Tanganyika, hivyo kuwa turufu katika juhudi za kupigania usawa wa jinsia.

Mwaka mmoja wa uongozi wake, umerekodi mafanikio lukuki katika usawa wa jinsia, sekta ya elimu na afya, huku wadau wakimsifu kwa kusema ni kielelezo cha uwezo wa wanawake katika uongozi.

Usawa wa jinsia

Katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wake, Rais Samia ameifanya Tanzania kuwa mwamba wa utekelezaji wa dhana ya usawa wa jinsia katika ngazi za uamuzi.

Ndani ya kipindi hicho, imeshuhudiwa idadi kubwa ya wanawake, walioteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali, zikiwemo nyeti kama Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambapo waziri wake ni Dk. Stergomena Tax.

Kwa mujibu wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN-WOMEN), Baraza la Mawaziri la Tanzania kwa sasa lina mawaziri tisa wanawake, idadi ambayo ni kubwa kuwahi kutokea katika mabaraza yote tangu uhuru wa Tanganyika.

Mbali na Baraza la Mawaziri, Rais Samia amekwenda mbali zaidi wakati wa uteuzi wa Majaji ambapo idadi ya wanawake ni asilimia 43.5.

Maeneo mengine yanayoashiria rasharasha za Tanzania kuelekea katika usawa wa jinsia katika ngazi za uamuzi ni idadi ya wabunge wanawake ambao ni asilimia 36, wakuu wa mikoa asilimia 30 na wakuu wa wilaya ni asilimia 15.

Haikuishia hapo tu, hata katika sekta binafsi kumekuwa na matokeo chanya katika usawa wa jinsia ambapo asilimia 30 ya wanawake katika kipindi hicho, wanaongoza taasisi za sekta hiyo.

Hata hivyo, uwepo wake madarakani umeongeza imani ya jamii kwa wanawake, kadhalika wanawake wenyewe kujiamini.

“Tulikuwa tunazungumza wanawake wanaweza bila ushahidi lakini uwepo wa Rais Samia umekuwa mfano wa uwezo wa wanawake, hii imeturahisishia kufanya harakati za usawa wa jinsia,” alisema Rebecca Gyumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Msichana Iniative.

Shirika hilo la UN-WOMEN, linabainisha ulimwenguni ni wanawake 26 pekee ndiyo walioshika wadhifa wa urais, akiwemo Rais Samia wa Tanzania.

Kwa sasa ni nchi 10 pekee ndiyo zenye wakuu wa nchi wanawake ambapo Tanzania ni miongoni mwazo.

“Bahati nzuri Tanzania kwa Afrika imekuwa miongoni mwa nchi hizi 10 zenye wakuu wa nchi wanawake, hiki ni kielelezo cha maendeleo katika usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake,” alisema Hodan Addou, Mwakilishi wa UN-Women.

Mwamko wa ongezeko la wanawake katika ngazi za uamuzi umeendelea kushika kasi katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia, kwani kwa sasa Mhimili wa Bunge, unaongozwa na mwanamke.

Dk. Tulia Ackson anakuwa mwanamke wa pili kushika wadhifa wa Spika wa Bunge huku mwanamke wa pili kuongoza mhimili ambapo wa kwanza ni Rais Samia anayeiongoza serikali.

Pamoja na mafanikio ya ongezeko la wanawake katika uongozi, pia kumekuwa na maboresho mengine yaliyofanyika kutanua wigo wa fursa kwa wanawake kuyafikia mafanikio.

Kuhusu hilo, Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dk. Zena Mabeyo, alisema kupitishwa sheria inayowaruhusu watoto walioacha shule kutokana na changamoto mbalimbali kurudi shuleni ni moja ya mafanikio muhimu katika kipindi hicho.

Alifafanua hatua hiyo imeongeza fursa hasa kwa watoto wa kike kupata elimu, ambayo kabla walikosa kutokana na changamoto walizopata ikiwemo kubakwa.

Dk. Zena alisema hiyo itasaidia watoto wa kike kuzifikia ndoto zao na kuwa mama bora wa familia, kwani wengi walijifungua wakiwa wadogo na kwa sababu wanakosa kusoma, hawakuwa na ujuzi wa malezi.

“Angalau wanarudi shuleni watapata elimu juu ya malezi hivyo tunawaandaa kuwa mama bora, lakini sio hivyo tu, hata ile hatua ya kuendelea na masomo wanaongeza maarifa yatakayowawezesha kusaidia watoto wao baadaye,” aliongeza Dk. Zena.

Dk. Zena alisema hatua ya Rais Samia kutoa nafasi za uongozi kwa wanawake, itasaidia kufikia usawa na kupunguza tofauti kati ya wanaume na wanawake katika uongozi, jambo ambalo lina faida lukuki katika jamii.

SEKTA YA ELIMU

Katika kipindi hicho, sekta ya elimu imepitia mapinduzi makubwa hasa ya uboreshaji wa miundombinu ya madarasa.

Kupitia fedha za mkopo wa masharti nafuu sh. trilioni 1.3 kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF), kiasi cha sh. bilioni 304 zilitumika kujenga miundombinu ya madarasa.

Fedha hizo zimewezesha ujenzi wa vyumba vya madarasa 13,000 ya shule za sekondari na sh. bilioni 60 kujenga Vituo Shikizi nchini na hivyo kuwezesha wanafunzi 600,000 kupata vyumba vya kusomea.

Utekelezaji wa miradi hiyo umefanikisha kukoma kwa changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa kwa asilimia 100 katika shule za sekondari, ambao awali ulisababisha wanafunzi kuingia madarasani kwa awamu.

Ujenzi wa vyumba hivyo umewezesha wanafunzi 135,000 kupata vyumba vya madarasa bora ambapo ukamilishwaji huo umeenda sambamba na ununuzi wa madawati 45,000.

Hata hivyo, upatikanaji wa fedha hizo kutoka IMF ni matokeo ya juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na uhusiano na mataifa ya nje na jumuiya za kimataifa.

AFYA

Katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia kumekuwa na uimarishwaji wa huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto.

Asilimia 99.7 ya wajawazito walifanya mahudhurio manne au zaidi katika kipindi, ikilinganishwa na asilimia 85.1 katika kipindi kama hicho mwaka 2020.

Aidha, asilimia 81.5 ya wajawazito walijifungulia katika vituo vya kutolea huduma za afya, ukilinganisha na asilimia 80 waliojifungulia vituo vya kutolea huduma kwa kipindi kama hicho mwaka 2020.

Utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri chini ya mwaka mmoja ulikuwa asilimia 97 kwa kutumia kigezo cha PENTA-3.

Chanjo hizo ni kwa ajili ya kuzuia magonjwa ya dondakoo, kifaduro, pepopunda, homa ya ini na homa ya uti wa mgongo hivyo kuvuka kiwango cha asilimia 90 kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ikilinganishwa na asilimia 95 iliyokuwa imefikiwa mwaka 2020.

Katika kuboresha sekta hiyo, Rais Samia ndani ya mwaka mmoja alitoa sh. bilioni 226.68 kwa ajili ya huduma za afya ya msingi.

Aidha vipaumbele vilivyotekelezwa kupitia fedha hizo ni kuanzisha Huduma za Dharura (EMD) katika halmashauri 75 na kujenga majengo ya huduma za wagonjwa mahututi 25 katika Halmashauri 25 za kimkakati.

Kuhusu hilo, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Mbilinyi, alisema huduma hizo ni msingi mzuri katika kuongeza ustawi wa binadamu.

Alisema iwapo binadamu watakuwa na ustawi maana yake afya za akili na miili yao zitaimarika na hivyo kuwa na mchango chanya katika uchumi wa nchi.

Alisisitiza kwamba maboresho ya huduma za mama na mtoto katika Hospitali mbalimbali nchini ni moja ya hatua zinazoonesha msisitizo wa Rais Samia katika kuwaondoa wanawake katika wimbi la changamoto.

JUMA ISSIHAKA NA IRENE MWASOMOLA

admin

admin

Stay Connected test

  • 138 Follower
  • 205k Subscriber
  • 23.9k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

August 7, 2023
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

0
WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

0

OFISA ELIMU, MHANDISI, MKUU WA SHULE WAKALIA ‘KUTI KAVU’

0
STENDI YA ZAMANI UBUNGO  KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

STENDI YA ZAMANI UBUNGO KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

0

Greatest Apple Spend Gambling how to play pokies online australia enterprises inside the 2026 Fruit Pay Gambling establishment Places

March 18, 2026

Better 60 free spins no deposit no wager uk real money Crypto Gambling enterprises 2026 Finest Crypto & Bitcoin Casino Sites

March 18, 2026

An lightning link daily free coins educated Cellular Casinos on the internet in australia to possess 2026

March 18, 2026

Book Of Ra durch Novoline: Spielautomat kostenlos Fruity Grooves Paypal aufführen

March 18, 2026

Recent News

Greatest Apple Spend Gambling how to play pokies online australia enterprises inside the 2026 Fruit Pay Gambling establishment Places

March 18, 2026

Better 60 free spins no deposit no wager uk real money Crypto Gambling enterprises 2026 Finest Crypto & Bitcoin Casino Sites

March 18, 2026

An lightning link daily free coins educated Cellular Casinos on the internet in australia to possess 2026

March 18, 2026

Book Of Ra durch Novoline: Spielautomat kostenlos Fruity Grooves Paypal aufführen

March 18, 2026
Instagram Youtube Twitter Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 13
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • casino online
  • Casino UK
  • casino utan svensk licens
  • casino1
  • casino3
  • casino4
  • climatica.org.uk
  • curapractic-kerpen.de
  • Czy Keramin jest
  • Forex News
  • Gry
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mar_common
  • mar_pb_common
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • News
  • Nos partenaires
  • Online Kasyno
  • Post
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • S Post
  • SIASA
  • Spinathlon
  • Sports
  • test
  • Uncategorized
  • www.kuss.cl

Recent News

Greatest Apple Spend Gambling how to play pokies online australia enterprises inside the 2026 Fruit Pay Gambling establishment Places

March 18, 2026

Better 60 free spins no deposit no wager uk real money Crypto Gambling enterprises 2026 Finest Crypto & Bitcoin Casino Sites

March 18, 2026

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In