Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

MABORESHO IDARA YA UUGUZI, UKUNGA YANACHOCHEA HUDUMA BORA ZA AFYA

admin by admin
October 8, 2021
in MAKALA AFYA
0
MABORESHO IDARA YA UUGUZI, UKUNGA YANACHOCHEA HUDUMA BORA ZA AFYA

WAZIRI wa afya Dk.Gwajima akizungumza baada ya kuzindua Baraza la Uuguzi na Wakunga hivi karibuni Mkoani Pwani

UUGUZI na ukunga ni muhimu katika kupunguza maumivu kwa wagonjwa, kuboresha huduma ya mama na mtoto na makundi mengine ndani ya jamii.

Kutokana na umuhimu huo Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Dk.Dorothy Gwajima akizindua  Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), anasema baraza hilo  lina wajibu wa kuhakikisha linalinda, kuimarisha na kuhifadhi afya ya jamii, usalama na ustawi, kupitia usimamizi na udhibiti wa shughuli za mafunzo ya uuguzi na ukunga.

“Wahitimu wamekuwa wengi na hawana stadi za kutosha, kumekuwa na utitiri wa vyuo na havina vigezo vya  kutosha  katika maeneo ambayo hayakidhi vigezo, vifaa kama serikali tutashughulika navyo,wale wanaosoma vyuo ambavyo havijasajiliwa wanajifurahisha  maana hawatasajiliwa,”anasema.

Dk.Gwajima anasema, takribani asilimia 60 ya watoa huduma za afya nchini ni wauguzi na wakunga, ikilinganishwa na kada zingine.

“Tasnia hii inafanya kazi ya wataalamu wengine pale wapokuwa hawapo, unakuta wauguzi wanawapa wagonjwa dawa, wanakaa na watoto na kwa uzoefu wake unamhudumia mgonjwa, hivyo tunakila sababu ya kuwasaidia,’’anasema.

Dk.Gwajima anabainisha kuwa, ili kuboresha huduma inayotolewa na wakunga na wauguzi, ni muhimu TNMC kuandaa miongozo ya kutolea huduma na zipatikane mahala pa kazi.

“Hakikisheni miongozo hii inapatikana katika maeneo ya kutolea huduma na iwe rahisi mtu kuipata mitandaoni.

Kwa upande wa serikali, tutakwenda kuhakikisha tunaimarisha uwepo wa wauguzi katika vyombo vya maamuzi, kazi  hii ni kubwa ya kusimamia  na kutetea maslahi ya wauguzi kupitia sheria,”anaseama.

MAGEUZI KWA WAUGUZI,WAKUNGA

Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Wizara ya Afya Ziada Sellah, akizungumzia maendeleo ya fani hiyo anasema, miaka ya nyuma wauguzi walikuwa wakiishia kupata mafunzo ngazi ya cheti na stashahada.

“Walikuwa hawapati mafunzo zaidi, baada ya kuona dunia inakimbia  kwa kasi, tukaona na sisi Tanzania tunatakiwa kwenda kasi ndipo ikaanzishwa  mafunzo ngazi ya shahada na wauguzi wengi wakaanza kufikia ngazi hiyo.

Tulianza kufika mbali zaidi na wauguzi na wakunga wakawa wanapata elimu ngazi ya uzamili

Hadi sasa ukiangalia tuna wauguzi wengi ambao wana shahada ya uzamivu, ambao wana uwezo wa kuchapisha maandiko,”anasema.

Ziada anasema katika fani ya uuguzi na ukunga wapo waliobobea.

MKURUGENZ wa Huduma za Uuguzi na Ukunga Ziada Sellah

Kwa upande wa changamoto Ziada anasema, vyuo vimekuwa vikiongezeka bila kuwa na udhibiti  hali inayochangia wauguzi wanaohitimu kukosa ubora.

“Vikidhibitiwa unajua kabisa muuguzi au mkunga anayemaliza mafunzo anasifa zinazostahili kuwa katika fani hiyo.

Tunaamini tukikaa chini na kukabaliana na utitiri wa vyuo tutapunguza idadi ya wauguzi wasio na sifa  na kuzalisha wenye ujuzi na stadi,”anasema.

Ziada anataja changamoto nyingine kuwa ni malamiko katika jamii  yanayotokana na wauguzi na wakunga kukosa maadili.

Anasema, TNMC ina ukosefu wa fedha hivyo baraza lililozinduliwa linajukumu la kuhakikisha TNMC inapata rasilimali fedha, kutekeleza majukumu yake mbalimbali.

“Wananchi inayoikabili baraza  ni wananchi kutofahamu kazi ya muuguzi na mkunga,”anasema..

Akizungumzia ukaguzi wa matibabu Ziada anasema, utaisaidia TNMC kuangalia ukaguzi wa kimatibabu.

“Tunakwenda kuangalia mkunga kafanya nini  na mwisho wa siku tunagundua changamoto iko wapi.

Kuna dawati tumelianzisha linaloangalia huduma ambayo inajali utu   heshima na maadili ya ukunga na uguzi, kila mgojwa anayekuja   anahitaji kutambulika na  anatakiwa kupata huduma  bila kuwagawa katika makundi,’’anasema.

Ziada anasema,TNMC itahakikisha maadili ya wauguzi hayaendi nje ya maadili.

“Ili uwe muuguzi au mkunga ni lazima uwe na maadili yanayokufanya ufanye kazi,’’anasema.

Katika udhibiti wa ugonjwa wa Corona, Ziada anasema siku zote wapo mstari wa mbele na ndio wa kwanza katika udhibiti wa ugonjwa huo.

“Muuguzi anakuhudumia saa 24 siku saba katika wiki, ukiingia hospitali unakutana na muuguzi wa kwanza, ukilazwa unakuwa na muuguzi ukiruhusiwa  upo na  muuguzi

Kuhusu janga la corona sisi tuna nafasi kubwa kuhakikisha tunampa  huduma mgojwa kulingana na changamoto alizonazo, daktari atakuja kwa ajili ya ushauri  na kukuandikia dawa.

Muuguzi ndiye atakaye kujali, ana nafasi ya kutoa elimu kwa jamii kwani ni kazi yake kubwa kwa hiyo hii ni nafasi yetu kubwa,’’anasema.

Miaka mitatu ya TNMC, miongoni mwa mambo ya kujivunia ni wauguzi na wakunga walio hitimu katika vyuo mbalimbali kuidhinishwa.

Wauguzi na wakunga 8,983 wamesajiliwa  na kupewa leseni, huku vyuo  vipya vya uuguzi na ukunga vitatu  vikianzishwa na 25 vikipanda kutoa mafunzo kuanzia ngazi ya astashahada hadi stsshahada.

Vilevile kwa mujibu wa TNMC vituo binafsi vya uuguzi na ukunga vitano viliidhinishwa

Mbali na hayo TNMC imesimamia matumizi  bora ya taasisi na kuwachukulia hatua watumishi wasiofuata maadili, ambapo jumla ya watuhumiwa saba walifuatiliwa na kutiwa hatiani.

Pia baraza limeboresha kanzidata, ambapo wauguzi na wakunga wanapata huduma kwa njia ya mtandao.

BARAZA LA UUGUZI,UKUNGA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Wakunga Agnes Mtawa, anasema  baraza hilo lilianzishwa mwaka 1953, chini ya sheria ya usajili uuguzi na ukunga

“Sheria hiyo ikafanyiwa marekebisho mwaka 1997 na mwaka 2010, sasa baraza linafanya kazi chini ya sheria namba moja ya mwaka 2010, ambayo imefanyiwa maboresho na kuifanya taaluma hii  ikuwe.

MUUGUZI akitoa huduma ya afya kwa mgonjwa

Baraza lilipata hadhi ya kuwa taasisi mwaka 2014 na tangu hapo  limetekeleza miongozo ya watoa taaluma kutoa huduma  za uuguzi na ukunga.

Tayari tumeshatengeneza muundo na mfumo wa usajili ambapo idadi ya waguzi na wakunga kwa sasa ni rahisi kufahamika, tumetengeneza miongozo inayolenga kuboresha huduma za uuguzi na wakunga.

Agnes anasema hadi sasa wauguzi na wakunga waliopo nchini ni 46,000  huku TNMC ikiwa na mkakati wa miaka mitano ambao ndio muongozo wa kutoa huduma za uuguzi na ukunga yenye kufanya baraza hilo kusonga mbele,’

“Baraza lipo kuhakikisha jamii inapata huduma bora kwa kutatua changamoto, wanachama na watoa  huduma wafuate sheria,”anasema.

Ili kuboresha huduma ya uuguzi na ukunga, Isaya Jacob anasema  kufanyike uchunguzi ili wauguzi na wakunga wasio na sifa walio katika vituo vya afya waondolewe.

 

Previous Post

SERIKALI YANUNUA SHAMBA UKUBWA WA HEKTA 5,818

Next Post

KIHONGOSI AMSAFISHIA CHEREHANI NJIA USHETU

admin

admin

Next Post
KIHONGOSI AMSAFISHIA CHEREHANI NJIA USHETU

KIHONGOSI AMSAFISHIA CHEREHANI NJIA USHETU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved