Tuesday, March 17, 2026
27 °c
Dar es Salaam
25 ° Thu
25 ° Fri
25 ° Sat
25 ° Sun
25 ° Mon
English English Kiswahili Kiswahili
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • English English
  • Kiswahili Kiswahili
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result
Mwanzo Habari Kitaifa

CCM GUMZO KILA KONA

>>KATIBU MKUU Chongolo, Mabodi, Mzee Chissano wachambua mafanikio tangu kuasisiwa kwa Chama na mwelekeo wa sasa

admin by admin
February 5, 2022
in Habari Kitaifa
0 0
0
CCM GUMZO KILA KONA

MWENYEKITI wa CCM, SAMIA SULUHU HASSAN

0
SHARES
91
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

WAKATI leo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatimiza miaka 45 tangu kuzaliwa kwake, Katibu Mkuu wa Chama, Daniel Chongolo, ametaja mafanikio tisa yaliyopatikana katika kipindi hicho, ikiwemo kudumisha amani, demokrasia na ukombozi wa mataifa mengine.

Ametaja sababu ya maadhimisho hayo kufanyikia mkoani Mara, kuwa ni kukumbuka na kuenzi miaka 100 ya kuzaliwa kwa mwasisi wa Chama, Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Chongolo aliyasema hayo katika mjadala wa kitaifa kuhusu miaka 45 ya CCM na maendeleo ya siasa nchini, uliofanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom.

SABABU ZA MAADHIMISHO KUWA MARA, MAFANIKIO

Akizungumzia maadhimisho hayo, Katibu Mkuu wa  Chongolo, alisema mafanikio ya Chama huanza kwa kutambua waasisi wa wake, ambao ni Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume.

“Hatuwezi kuzungumzia uimara wa Chama chetu hii leo bila kuzungumzia waasisi wetu Hayati Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume, ambao kwa pamoja ndio waliobeba njozi au maono ya kujenga Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” alisema.

Alisema kwa kutambua mchango wa waasisi hao, ndiyo maana maadhimisho ya kuzaliwa kwa CCM yanafanyika katika Mkoa wa Mara, kwani Mwalimu Nyerere anatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake.

“Mwaka huu pia tunaadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Baba wa Taifa hayati Mwalimu Nyerere, ambapo ndio kusudio letu la msingi kuleta sherehe huku za miaka 45 ya Chama chetu mkoani Mara,” alisema.

Alieleza katika kipindi cha miaka 45, Chama kimefanikiwa kudumisha amani, akibainisha kwamba kwa kipindi chote hicho hakuna jambo lililoleta dhoruba kwa nchi.

Chongolo alisema eneo jingine ambalo Chama kimepiga hatua ni kujenga demokrasia ya pekee isiyofanana na taifa lolote duniani na kwamba inajipambanua.

“Hili linajidhihirisha wakati wa kubadilishana madaraka, tumeona mabadiliko yametokea hakuna kuangaliana kwa husda wala nini mambo yanakwenda vyema,” alisema.

Aliyataja mambo ambayo CCM kinajivunia ni kuwa mkombozi wa mataifa hasa ya Kusini mwa Afrika, ambapo ilihakikisha nchi hizo zinakuwa huru.

“Chama cha Mapinduzi kinajivunia kuwa ni Chama cha ukombozi na hasa kwa mataifa kusini mwa Afrika, kupitia CCM na serikali sisi ndio tumewasaidia wengine wote waliokuwa na changamoto kwenye mataifa yao,” alisema.

Aliyataja mafanikio mengine ni kulifanya taifa kuwa moja bila kubaguana kikabila wala jinsia, kusimamia matumizi ya rasilimali za nchi kwa ajili ya wote, ujirani mwema na mataifa ya nje na katika hilo, Tanzania imekuwa ikisuluhisha migogoro mingi ya mataifa mengine.

Katibu Mkuu Chongolo alifafanua kwamba, Chama kinajivunia kusimamia mageuzi ya mfumo wa ndani kuendana na wakati na hata uteuzi wa viongozi wa CCM unazingatia nani anateuliwa ili afanye nini.

Alitaja mafanikio mengine ni katika utekelezaji wa miradi ya huduma kwa wananchi ikiwemo afya, elimu, miundombinu na mambo mengine lukuki chini ya awamu mbalimbali za serikali.

MZEE CHISSANO

Akitoa salamu za pongezi wa CCM kwa kutimiza miaka hiyo, Rais Mstaafu wa Msumbiji, Joaquima Chissano, alisema ni ngumu kukumbuka mwanzo wa Chama bila kuvikumbuka ASP, TANU na viongozi wake ambao ni Mwalimu Nyerere na Karume.

“Ninashukuru kualikwa kwenye mkutano huu wa kuadhimisha miaka 45 iliyopita ya CCM, lakini pia huwezi kukumbuka miaka 45 bila kukumbuka Afro-Shirazi Party, TANU na viongozi kama Mwalimu Nyerere na Karume,” alisema.

Alibainisha kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndiyo unaopaswa kuwa mfano kwa muungano wowote Afrika kwa kuwa ndiyo imara zaidi kuliko wowote ule.

“Mimi nilikuwa hapo nimeona maendeleo baada ya Uhuru tumekaa miaka michache bila kutembelea Tanzania nilipotembelea nilishangaa maendeleo, sio magorofa pekee bali watu wenyewe,” alisema.

Alitofautisha vijana wa sasa na wale kabla ya miaka 45, akisema wamebadilika kutokana na kuelimika na kusisitiza mabadiliko ya miji, miundombinu ya barabara na madaraja.

“Vijana wa Tanzania wa sasa sio kama wale wa miaka 45 iliyopita kuna tofauti kubwa sana, Nyerere alikuwa mmoja wa wale walioleta umoja wa vyama vya kupigania uhuru wa Msumbiji,” alisema.

Alieleza yeye ni miongoni mwa wananchi waliolazimika kusubiri siku mbili ama tatu Rufiji, ili kuvuka kwenda upande mwingine na hilo lilitokana na ubovu wa miundombinu kwa wakati huo, lakini sasa halipo tena.

“Mimi ni mshirika kidogo katika kusomesha watu kufanya kazi kwa mikono yao, mtu ajue kufanya kitu ikiwemo kujenga na hii mifano ipo Tanzania,” alisema.

Aliipongeza CCM na Watanzania kwa ujumla kwa kazi wanayofanya na namna ilivyoisaidia Msumbiji katika ukombozi wake.

Alieleza CCM na Tanzania kwa ujumla imekuwa ikiendelea kutoa msaada kwa taifa hata wakati huu, ambapo taifa lake linakabiliwa na changamoto za ugaidi.

“Tunasema asanteni sana endeleeni na kazi CCM endelea kuongoza muwe mfano, Nyerere alikuwa mmoja wa waliosaidia umoja wa kupigania Uhuru wa Msumbiji,” alisema.

MABODI

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dk. Juma Abdallah ‘Mabodi’, alisema maridhiano ya Zanzibar yamekuwa chachu ya mshikamano na ushirikiano miongoni mwa Wazanzibari na hayo yanatokana na sera bora zilizowekwa na CCM kwa kipindi hicho.

Alieleza jambo jingine linalofanywa na CCM ni kugawana manufaa ya nchi bila kujali itikadi, jambo ambalo limekisaidia Chama kuendelea kuaminika.

Mabodi alibainisha jambo jingine muhimu kwa Chama ni usikivu wake hata kwa vyama vya upinzani vinaposhauri, kinaangalia kama kuna tija kwa taifa na kufanyia kazi.

“Baada ya vyama vingi kuanzishwa kulitokea mifarakano baina ya vyama hivyo lakini sifa kuu tuliyonayo hakuna msuluhishi yeyote aliyetoka nje aliyekuja kusuluhisha mifarakano hii, hivyo tuliweza kukaa pamoja na kuridhiana kwa pamoja na mpaka sasa nchi iko shwali,” alisema.

KANALI LUBINGA

Naye, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Ngemela Lubinga, alisema msingi wa mafanikio ya CCM ni mwenendo mzuri uliofanywa na TANU na ASP.

Lubinga alieleza zamani kulikuwa na mambo ya kimkakati na msingi ya kuimarisha uhuru, amani na utulivu na hayo yalifanikiwa kutokana na ilani bora zinazotengenezwa kuendana na mahitaji ya wananchi ya wakati husika.

Alisema jambo jingine ambalo CCM imefanya ni kujenga uhusiano wake na vyama vingine nje ya Tanzania, vikiwemo rafiki na vyama ndugu ambavyo ilishirikiana navyo katika ukombozi.

Kanali mstaafu Lubinga, aliongeza kwamba Chama kimekuwa kikijiimarisha katika shughuli zote hizo ili kuwaletea wananchi maendeleo na ndiyo maana leo hii watanzania wa kila mkoa wanazungumza lugha moja.

Alisisitiza matumizi mazuri ya rasilimali na umakini wa watendaji kwa kila kilichopo, umeendelea kukipa heshima Chama hadi leo tangu miaka 45 iliyopita.

“Leo hii tumempoteza Hayati Rais Magufuli na ameingia Rais Samia, lakini hakukuwa na changamoto yoyote kwa wenzetu hiyo ingekuwa hali ya hatari, tunakipongeza sana hiki Chama,” alisema.

 MWAKILISHI WA ANC

Mwakilishi kutoka Chama cha ANC cha Afrika Kusini, Ndumi Gwayi, alisema CCM kimeonyesha umahiri mkubwa katika uongozi na hilo linajidhihirisha kwa kuwa na Mwenyekiti mwanamke.

Gwayi alieleza Chama hicho kimekuwa msingi mkubwa wa ukombozi wa mataifa ya kusini mwa Afrika na kilisisitiza umuhimu wa Waafrika kujitegemea kama sehemu ya dhamira ya kuanzishwa kwake.

MWAKILISHI WA SWAPO

Katibu wa Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha SWAPO cha Namibia, Katrina Liswani, alipongeza hatua ya CCM kutimiza miaka 45 huku kikiwa na uongozi wa mwanamke.

Liswani alisema kupitia CCM wamejifunza kutekeleza sera ya ujamaa na kujitegemea na zimewafanikishia kuwa na maendeleo ukilinganisha na ilivyokuwa zamani.

“Hatutasahau mambo mliyotufanyia, ikiwemo kuwasomesha watu wetu na mambo mengi tumeyapata huko, tunajivunia hayo sana asanteni sana kaka na dada zetu,” alisema.

BALOZI PEREILA

Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Pereila Silima, alisema, “CCM kimepeleka walinda amani wengi nje ya nchi lengo ni kuhakikisha amani inadumu na lengo la kuwakomboa wengine halitatimia iwapo hawatakuwa na amani,” alisema.

Alisema kazi kubwa ya CCM tangu mwanzo haikuwa kuwakomboa wananchi kupata uhuru pekee, bali ni kuhakikisha wanaongeza vipato vyao na sasa imeshuhudiwa serikali ikishirikiana na mataifa mbalimbali katika uwekezaji ili kulifanikisha hilo.

Balozi Pereila alieleza kupitia sera za kimataifa, wanahakikisha kwamba Chama kinakuwa mkombozi wa mataifa mengine ya Afrika.

“CCM inahitajika ilivyo na ikiwa imara zaidi ili kutekeleza malengo yote ya kuimarisha Bara la Afrika,” alisema.

WASSIRA

Mwanasiasa mkongwe, Stephen Wassira, alisema CCM kilipoanzishwa kilirithi mfumo wa maadili kutoka ASP na TANU na kwamba, msisitizo wa maadili haukuwahi kubadilika ila muundo wa kuenenda maadili ndiyo unajibadilisha kila wakati.

Wassira alieleza mafanikio ya CCM yametokana na misingi ya maadili ambayo huwapa miongozo ya nini viongozi wafanye na nini wasifanye kwa kuzingatia Chama ni taasisi kubwa.

“Miaka ya 1980 kwa sababu zinazoeleweka na mabadiliko ni lazima miiko ya viongozi iliondolewa na watu walidhani CCM imeacha ujamaa, jambo ambalo sio kweli kwa sababu katika Katiba yetu hadi ya leo sera yetu ni ya kijamaa,” alisema.

Alieleza kwa sasa CCM imeunda idara maalumu ya maadili ambayo kimsingi ina jukumu la kusimamia maadili ya wanachama wake.

KIHONGOSI

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Kenani Kihongosi, aliahidi kuwa bega kwa bega na Rais Samia na kusisitiza kwamba, watahakikisha heshima yake inalindwa wakati wote.

Kihongosi alifafanua katika miaka 45 tangu kuzaliwa kwa CCM, kundi la vijana limekuwa na nafasi kubwa ya ujenzi wa Chama na nchi ili kuleta maendeleo.

“Nafasi ya Umoja wa vijana katika Chama cha Mapinduzi kuelekea miaka 45 imeonekana katika nyanja mbalimbali, zikiwemo za kiuchumi, maendeleo na una nafasi kubwa hasa kwa Chama kujisahihisha kwa wananchi na kuleta maendeleo katika taifa letu,” alisema.

Aliongeza kwamba hata historia inaonyesha kwamba kuzaliwa kwa CCM kwa maana muungano wa ASP na TANU ulihusisha juhudi za vijana katika kulifanikisha hilo.

“Nafasi ya vijana katika Chama imeonekana katika nyanja mbalimbali kwa miaka hii 45, viongozi wengi wa taifa letu hii leo wamepita katika UVCCM na hiyo inaonyesha namna gani jumuiya hii ina mchango mkubwa katika kushajihisha viongozi,” alisema.

Alieleza pia serikali ya CCM imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo sehemu kubwa ya wafanyakazi ni vijana huku Vyuo vya Ufundi vikiendelea kujengwa, ili kuwafundisha vijana ufundi mbalimbali ili wajiajiri.

“Mambo mengi mazuri makubwa yamefanywa kwa sababu ya nguvu kazi ya vijana, unapoongelea miradi mikubwa ya maendeleo vijana wamefanya kazi kubwa kuhakikisha miradi hiyo wanatoa nguvu kazi na inaweza kujengeka,” alisema.

KATE KAMBA

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Kate Kamba, alisema mafanikio makubwa yaliyotokana na Chama yanahusisha mchango wa Jumuiya ya Wanawake (UWT).

Alieleza jumuiya hiyo ndiyo husimama kidete kutetea viongozi na wagombea wa Chama kuhakikisha wanashinda uchaguzi na ndiyo iliyobeba wanawake kadhaa leo hii wanashika hatamu ndani ya serikali.

“Jumuiya ya wanawake ni muhimu sana katika Chama chochote kwani ndio wanaobeba jukumu kubwa la kulea Chama, hivyo Jumuiya yetu ya Wanawake CCM imedumu kwa muda wote tangu kuanzishwa,” alisema.

NA JUMA ISSIHAKA

admin

admin

Stay Connected test

  • 138 Follower
  • 205k Subscriber
  • 23.9k Follower
  • 99 Subscriber
  • Trending
  • Comments
  • Latest
MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

MADAKTARI WAELEZEA JINSI YA KUZUIA MIMBA ISIHARIBIKE

July 9, 2021
BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

BREAKING NEWS: RATIBA LIGI KUU NBC MSIMU WA 2023/2024 HII HAPA

August 7, 2023
TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

TABWA YAMSIFU SAMIA KUWAPA FURSA WANAWAKE

July 9, 2021
BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

BEI MPYA YA MBAAZI, KUNDE YAWAPANDISHA MZUKA WAKULIMA

August 9, 2021
NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

NDUGU MATATANI KUMSHAMBULIA, KUMJERUHI MWENZAO KISA NG’OMBE

0
WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

WAHANDISI WA HALMASHAURI WAMEKUA WAKIIKOSEA SERIKALI KWAKUTOA TAARIFA ZA UONGO

0

OFISA ELIMU, MHANDISI, MKUU WA SHULE WAKALIA ‘KUTI KAVU’

0
STENDI YA ZAMANI UBUNGO  KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

STENDI YA ZAMANI UBUNGO KUJENGWA DEPO MABASI MWENDOKASI

0

Comme maximaliser un depot avec deux a�� en tenant maximaliser nos benefices

March 17, 2026

Motywacja bez depozytu z Ice Casino: 50 free spinow bez depozytu

March 17, 2026

Merkur genies touch Slotauszahlung Slot via Echtgeld zum besten geben

March 17, 2026

Perfectionner votre experience de jeux avec ce conserve en compagnie de 5 $

March 17, 2026

Recent News

Comme maximaliser un depot avec deux a�� en tenant maximaliser nos benefices

March 17, 2026

Motywacja bez depozytu z Ice Casino: 50 free spinow bez depozytu

March 17, 2026

Merkur genies touch Slotauszahlung Slot via Echtgeld zum besten geben

March 17, 2026

Perfectionner votre experience de jeux avec ce conserve en compagnie de 5 $

March 17, 2026
Instagram Youtube Twitter Facebook

We are a diverse team of experts, innovative thinkers, creative designers, writers, innovators, strategists, pyschologists, comunictaors and web developers. UMG is extremely passionate about growing clients’ businesses, helping them achieve their goals and making a difference by raising the creative and communications industry standards in Tanzania.

Follow Us

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 13
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • casino online
  • Casino UK
  • casino utan svensk licens
  • casino4
  • climatica.org.uk
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • Gry
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • News
  • Nos partenaires
  • Online Kasyno
  • Post
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • SIASA
  • Spinathlon
  • Sports
  • test
  • Uncategorized

Recent News

Comme maximaliser un depot avec deux a�� en tenant maximaliser nos benefices

March 17, 2026

Motywacja bez depozytu z Ice Casino: 50 free spinow bez depozytu

March 17, 2026

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In