Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

CCM TANGA YAWAONYA WALIOANZA KUJIPITISHA KUSAKA UBUNGE, UDIWANI

Flora Bathromew by Flora Bathromew
October 9, 2023
in Habari Kitaifa
0
CCM TANGA YAWAONYA WALIOANZA KUJIPITISHA KUSAKA UBUNGE, UDIWANI

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amewaonya makada wa chama hicho mkoani Tanga ambao wameanza kujipitisha pitisha kutangaza nia ya kutaka Ubunge na Udiwani waache mara moja maana wakiendelea wanajimaliza wenyewe.

Hemed ambaye pia Mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga aliyasema hayo Octoba 8,2023 wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara yake ya kichama kwenye mkoa huo.

Alisema kwenye mkoa huo wapo watu wameanza kujipitisha pitisha wakitangaza nia ya kusaka udiwani na ubunge wakati wakidhana kufanya hivyo ni kosa hivyo niwatake walipofikia wasimame.

“Katika hili niwaonye watu ambao wameanza kujipitisha na kusaka ubunge na udiwani wakati viongozi hao bado wapo hapo walipofika wasimame wakiendelea wataendelea kujimaliza mimi ni mjumbe na wale sitamuoenea aibu mtu wa namna hiyo kwa maana sasa wabunge tunao achene wafanya kazi zao hatutakubali hili”Alisema

Mlezi huyo alisema ukiona mtu ana ndoto ya kuanza kuona anafaa kuwa mbunge na diwani sio pekee yake ana watu huko nyuma wanampa sapoti acheni hizo tabia chama kina utaratibu wake muda ukifika wataangalia nguvu yako .

Aidha alisema kwa sasa kwenye mkoa huo na yeye akiwa mlezi ameona aliseme mapema na kama kuna watu wanawatuma watu hizi hazikubaliki kutokana na taratibu za chama hicho.

“Kama hukufuata nidhamu ya chama haustahili kuwa kiongozi achene jambo hilo sasa tulenge kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tufanye kazi na tuweke nguvu kwenye uchaguzi wa mkuu wa 2025”Alisema

Alisema pia katika mkoa huo hawatakuwa tayari wala kumvumilia mtu ambaye anakwenda kuufanya ushindi wao uwe na tatizo wakati CCM haina tatizo.

Aidha alisema mtu huyo yeye ndio atakuwa tatizo atatupisha yeye kama ni wa serikalini wataangalia utarartibu kwa kumfikishia Taarifa Mwenyekiti wao Taifa Dkt Samia Suluhu kwamba hapa hatuendi vizuri na amekuwa hodari wa kufanya hivyo.

Makamu huyo wa Pili wa Rais alisema wakati wanaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kauli mbiu ya mkoa huo ni wapo tayari kwa ajili ya uchaguzi huo wa 2024.

Alisema pili ili waende kwenye uchaguzi huo wakiwa vizuri lazima waendelea kuzidisha umoja na mshikamano baina yao wenyewe kwanza hilo anazungumzia kwa viongozi wakishikamana wao wanapokwenda kwa wananchi wanazungumza lugha moja ya ushindi wa CCM.

Alitumia wasaa huo kuwaomba viongozi wa wilaya na mkoa pale penye changamoto wewekane sawa ikiwemo kuondosha tofauti za na wasimame kwenye mstari utakaowaongoza wanachama wao kuelekea kukipigia kura chama hicho kwenye ngazi zote.

Alisema ili kuhakikisha wanashinda kwenye ngazi zote na wakifanya hivyo huo utakuwa ni ujumbe mzuri wa kuelekea 2025 huku akiwaomba wamuomnyeshe Rais Dkt Samia Suluhu na watanzania kwamba Tanga wakiamua wanamaanisha.

Hata hivyo aliwataka waende wakatimize lengo lao huku akiwahaidi kuwa mstari wa mbele kwa sababu hapendi kushindwa.

Makamu huyo wa pili wa Rais aliwataka Mwenyekiti anayehisi kwenye kata yake atashindwa awasamehe mapema kutokana na kwamba hawatakuwa tayari kupoteza chochote kwenye jambo hilo lazima wahakikishe wanashinda kuhusu upinzani.

Alisema kwamba kwa mkoa huo wapinzani watatulia kama wanapakwa hina huku akiwataka kila mtu kwenye wilaya yake huo mkakati wanaimarisha kwenda kushinda kwenye serikali za mitaa.

Makamu huyo wa pili alisema wana malengo ya kwenda kushinda kama kuna jambo halikajaa sawa wawambie kutokana na kwamba chama hicho ni kikubwa na hawawezi kufanya mchezo kuingia kimasihara lazima waingie na wapate matokeo.

Umoja na Mshikamano alisema kwamba suala la umoja kamisaa yupo hapa kaa vizuri na kamisaa wako wa wilaya wote washauriane vema changamoto wamalize huko wakija wanakwenda kwenye utekelezaji na wanakwenda kumaliza shughuli zao na wao wanaendelea kubaki kuwa kidedea.

“Hakikisheni hilo mnalifanyia kazi kwani mkiniona nipo Zanzibar msifikirie ya Tanga siyajui na yanayojiri kwenye vikao najua kila siku nimekuja nikijua Tanga kuna nini niwaombe mshikamano huo ndio utatupelekea ushindi wa CCM.

Previous Post

MWENGE WA UHURU KUZINDUA MIRADI 58 YA BILIONI 13.2 MANYARA

Next Post

WIZARA YA MALISILI NA UTALII YAONESHA UBABE MASHINDANO YA RIADHA SHIMIWI

Flora Bathromew

Flora Bathromew

Next Post
WIZARA YA MALISILI NA UTALII YAONESHA UBABE MASHINDANO YA RIADHA SHIMIWI

WIZARA YA MALISILI NA UTALII YAONESHA UBABE MASHINDANO YA RIADHA SHIMIWI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved