Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

KAMPENI YA “PIGA MPIRA SIO MWANAMKE” YAZINDULIWA

Flora Bathromew by Flora Bathromew
October 19, 2023
in Habari Kitaifa
0
KAMPENI YA “PIGA MPIRA SIO MWANAMKE” YAZINDULIWA

Shirika Lisilo la Kiserikali (NGO) ,Thamani Women Tanzania, imezindua kampeni yake ya kwanza ijulikanayo kwa kauli mbiu ya “Piga Mpira Sio Mwanamke” yenye lengo la kukemea na kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto nchini Tanzania.

Uzinduzi huo umefanyika katika hotel ya Hyatt,Regency kwa kushirikiana na timu za Ligi Kuu yaTanzania Bara, Simba SC, Azam FC na Singida Fountain Gate na kuzinduliwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Khamis Mwinjuma (FA).

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Thamani Women Tanzania, Nafue NyangeE alisema kuwa taasisi hiyo iliamua kutumia mpira wa miguu kwa lengo la kufikisha haraka na kwa kishindo ujumbe wao kwani mashabiki wa mpira wa miguu kwa idadi kubwa Zaidi ni wanaume wa makamu na matabaka tofauti.

Nyange alisema kuwa wachezaji wa timu hizo ambao watarekodi sauti na video za kupinga vitendo kikatili na kusambazwa katika mitandao ya kijamii, redio na wanaamini kuwa jamii itafikiwa kwa haraka na kukomesha kabisa janga hili.

“Wanamichezo wana fadhila na majukumu kwa mashabiki wao. Hakuna michezo bila mashabiki…lakini pia hakuna mashabiki bila amani na upendo katika jamii. Mashabiki tuna waazima wana michezo sauti zetu kwa shauku kubwa katika kushangilia ligi zenu mbalimbali hivyo wanamichezo hamna budi kutu-azima mashabiki sauti zenu katika kupinga ukatili na majanga mengine ya jamii,” alisema Nyange.

Alifafanua kuwa kwa kuanzia wamechagua timu hizo tatu ambapo baadaye tutatanua wigo kwa kushirikisha timu nyingine pale tu watakapo kuwa tayari kujiunga nao.

Kwa mujibu wa Nyange, kampeni hii itaanzia kwenye mikoa mine ambayo ni Mara, Mwanza,Dodoma na Dar es Salaam. Alisema kuwa kampeni hiyo pia itatambulishwa rasmi mikao tofauti kwa awamu. Alisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa mikoa hiyo ina vitendo vingi viovu dhidi ya wanawake na watoto.

Aliongeza kusema kuwa watatumia njia mbalimbali kufikisha ujembe huo ikiwa pamoja na mechi za kirafiki, matukio ya jamii, na shughuli za elimu.

“Kampeni hii inalenga kutoa maarifa kuhusu madhara ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, na pia kuchochea mazungumzo kuhusu jinsi ya kuzuia na kukomesha vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu. Tunakaribisha kushiriki katika kampeni hiyo muhimu, tunaamini kupitia umoja wetu, tunaweza kuleta mabadiliko katika jamii yetu na kuwahakikishia wanawake na watoto ulinzi wanayostahili,” alisema.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ambaye alikuwa mgeni tasmi, alivipongeza vilabu hivyo na kuoa rai kwa vilabu vingine vya mpira wa miguu kuunga mkono kampeni hiyo.

Naibu Waziri alisema kuwa mpira wa miguu ni mchezo namba moja nchini na una mashabiki wengi na kama wachezaji na viongozi watashiriki katika kampeni za kupinga ukatili kwa wanawake na watoto, jamii itabadilika na kuwa na fikra chanya.

“Ni wakati wa kutumia nafasi zetu kuunga mkono kampeni hizi ili jamii ibadilike, wachezaji na viongozi ni kioo cha jamii na wote tukiungana, tutafikia malengo yetu,” alisema Mwinjuma.

Aliongeza kwa kusema kuwa “Vita ya ukatili ni yetu sote, usalama na furaha ya wanawake na watoto ndio chanzo cha maendeleo na amani ya sasa na kesho. Nichukue nafasi hii kuviomba vilabu vingine vya mpira wa miguu kujiunga na kampeni hii ya Piga Mpira Siyo Mwanamke. Tuunge mkono bidii za serikali ya awamu ya sita na taasisi ya Thamani Women Tanzania kwa mpango wake mahusisi wa kuondoa janga hili,”.

“Ni lazima vijana wa kiume watambue ya kwamba katika janga hili wao ni suluhu na sio tatizo tu kwa hivyo ni muhimu wajadili tatizo hili,” alisema.

Kwa upande wake, Neema Tarimo ambaye ni Meneja Mradi wa Thamani Women Tanzania alisema kuwa wamejipga vilivyo kufikisha ujumbe na kuhakikisha kuwa kampeni hii inakamilika.

“Nachukua fursa hii kuwapongeza viongozi wa timu hizi tatu na wadau kwa kutuunga mkono katika kampeni hii muhimu kwa ustawi wa jamii, tunaamini tutafanikiwa,Tunakaribisha kushiriki katika kampeni hiyo muhimu, tunaamini kupitia umoja wetu, tunaweza kuleta mabadiliko katika jamii yetu na kuwahakikishia wanawake na watoto ulinzi wanayostahili,” alisema Tarimo.

Tarimo alifafanua kuwa kwa kwa njia ya mechi za kirafiki, matukio ya mbalimbali ya kijamii, na shughuli za elimu, kampeni hii inalenga kutoa maarifa kuhusu madhara ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, na pia kuchochea mazungumzo kuhusu jinsi ya kuzuia na kukomesha vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu.

Wakati huo huo Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula alisema watatumia wachezaji wao na mitandao ya kijamii kupinga ukatili wa wanawake na watoto kwa nguvu zote.

Kauli hiyo iliungwa mkono na Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu ya Azam FC, Abdulkarim Popat na wa Singida Fountain Gates FC, Olebile Sikwane.

Previous Post

WAZAZI NA WALEZI WAKUMBUSHWA KUPELEKA WATOTO SHULE.

Next Post

MHANDISI LUHEMEJA ATAKA WCF KUSAJILI WAAJIRI WOTE NCHINI

Flora Bathromew

Flora Bathromew

Next Post
MHANDISI LUHEMEJA ATAKA WCF KUSAJILI WAAJIRI WOTE NCHINI

MHANDISI LUHEMEJA ATAKA WCF KUSAJILI WAAJIRI WOTE NCHINI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved