Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

LIONEL MESSI STAA ANAYEONDOKA BARCELONA NA KUACHA REKODI YA AINA YAKE

admin by admin
August 9, 2021
in MICHEZO KIMATAIFA
0
LIONEL MESSI STAA ANAYEONDOKA BARCELONA NA KUACHA REKODI YA AINA YAKE

LIONEL MESSI

BAADA ya miaka 21, staa wa aliyemaliza muda wake katika kikosi cha Barcelona, Lionel Messi, anaondoka na ameshacheza mechi 778 huku akipachika mabao 672, na mkongwe huyu hatarudi tena katika kikosi hicho cha Camp Nou.

Uongozi wa Barcelona, tayari ulishatangaza mwishoni mwa wiki iliyopita kwamba wameamua kuachana na staa huyo kutokana na kushindwa kumwongeza mkataba mpya baada ya ule wa awali kumalizika tangu Juni, mwaka huu.

Messi, mwenye umri wa miaka 34, alikuwa mchezaji huru tangu Juni 30, mwaka huu kufuatia mkataba wake wa awali kumalizika na kwamba uongozi hautamwongeza mkataba mpya mfungaji huyu wa muda wote wa Barcelona.

Katika makala haya tuangalie baadhi ya matukio yaliyomfanya staa huyu kuweka rekodi ya aina yake ndani ya Barcelona na kwamba ataendelea kukumbukwa na mashabiki wa kikosi hicho kwa kipindi kirefu kutokana na mafanikio aliyoipa hadi anaondoka.

BAO LA KWANZA BARCELONA

Ilikuwa Mei Mosi, mwaka 2005, akiwa na umri wa miaka 17, aliingia dimbani akitokea bechi ambapo alichukua nafasi ya Samuel Eto’o, raia huyo wa Argentina akivalia jezi namba 30.

Katika mechi hiyo Barcelona ilikuwa ikiikabili Albacete, ambapo Messi alifanikiwa kufunga bao pekee katika dakika ya 90 akipokea pasi ya kichwa kutoka kwa Ronaldinho aliyeruka katikati ya mabeki wawili na Messi kuukwamisha mpira wavuni moja kwa moja.

2007 EL CLASICO ‘HATTRICK’

Baada ya miaka miwili, mashabiki wa soka walionekana kuanza kumfuatilia kwa ukaribu mshambuliaji huyo aliyekuwa na umri mdogo zaidi kikosini.

Katika mechi iliyowakutanisha na watani wao wa jadi Real Madrid, Messi alionyesha uwezo mkubwa wa kucheza kandanda safi ambapo alifunga bao la kwanza mapema mechi hiyo ikichezwa Camp Nou.

B a a d a y e alipachika bao la pili na kuisawazishishia timu yake iliyotanguliwa mabao mawili na matokeo yalisomeka 2-2.

Sergio Ramos alifunga bao la tatu kwa Real Madrid wakati huo wenyeji wakiwa pungufu, lakini dakika tatu kabla ya mpira kumalizika, Messi alipachika bao la tatu na kuingia katika rekodi ya kufunga ‘hat-trick’ ya kwanza ambapo timu yake iliondoka na pointi moja.

BAO LA MAAJABU DHIDI YA GETAFE

Baada ya mwezi mmoja kupita mechi ya El Clasico, Messi alifunga bao la maajabu ambalo lilifananishwa na aliyewahi kufunga Diego Maradona.

Ilikuwa nusu fainali ya michuano ya Kombe la Ligi ya Hispania, dhidi ya Getafe, Messi alipewa pasi na Xavi katika eneo la katikati ya uwanja na alianza kutambaa nao kupitia upande wa kushoto, aliwapita wachezaji watano na kufumua shuti kali lililojaa wavuni moja kwa moja.

Messi baada ya kufunga bao hilo, aliingia katika orodha ya mchezaji wa Barcelona kufunga bao bora zaidi katika historia ya klabu na siku iliyofuata aliteka vichwa vya habari vya magazeti yote Hispania ambapo vilisomeka ‘Messidona’.

BAO LA KICHWA DHIDI YA MANCHESTER UNITED

Mabao ya kichwa kwa Messi sio chaguo la kwanza lakini ameshafunga mabao 20 pekee kwa kichwa, katika kipindi chote a l i c h o c h e z a ndani ya Barcelona.

L a k i n i bao ambalo l i l i o n e k a n a k u m t a m b u l i s h a zaidi kwa kufunga kwa kichwa, a l i f u n g a m w a k a 2009, katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya wakiikabili timu ya Manchester United wakati huo ikiwa chini ya Kocha Sir Alex Ferguson.

Katika mechi hiyo Messi alifunga bao la kichwa akiruka juu futi saba na kujaa wavuni moja kwa moja ambapo alipokea krosi murua kutoka kwa Xavi.

BAO ALILOFUNGA WEMBLEY

Miaka miwili baadaye Barcelona ilikutana kwa mara nyingine na Manchester United, katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyopigwa katika Uwanja wa Wembley.

Messi hakufunga bao katika mechi nane za mwisho za Ligi Kuu ya Hispania, lakini katika ardhi ya Uingereza alionyesha kiwango cha hali ya juu.

Alifunga bao katika umbali wa yadi 25, baada ya kufumua shuti kali lililomshinda kudaka kipa Van der Sar na kubeba taji hilo kwa mara ya tatu.

MABAO MATANO DHIDI YA BAYER LIVERKUSEN

M e s s i alikuwa mchezaji wa kwanza wa Barcelona, kufunga mabao matano katika mechi moja ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. B a r c e l o n a mechi ya k w a n z a walipoteza u g e n i n i k w a m a b a o 3-1 dhidi ya Bayer Liverkusen, na hivyo walihitaji ushindi zaidi ili kusonga mbele katika michuano hiyo.

Hata hivyo katika mechi hiyo Messi alifanikiwa kufunga mabao matano pekeyake na alikaririwa akisema hakuamini kile kilichotokea.

“Sina uhakika na kilichotokea kwani hata mimi sikutegemea, lakini straika yoyote anaweza kufanya hivyo,”.

ALIVUNJA REKODI YA GERD MULLER

Awali mchezaji Gerd Muller aliweka rekodi ya aina yake ya kufunga mabao 85, ambayo ilikaa muda mrefu zaidi bila kuvunjwa.

Lakini mwaka 2012, Messi aliivunja rekodi hiyo kwa kupachika wavuni mabao 91 katika mechi 69 alizocheza Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.

REKODI YA KUFUNGA LIGI KUU

Baada ya muda mrefu kupita, Messi aliweka rekodi nyingine ya kufunga mabao katika Ligi Kuu ya Hispania katika mechi dhidi ya Sevilla wakishinda mabao 5-1, alifi kisha idadi ya mabao sawa na Telmo Zarra aliyewahi kufunga mabao 251.

MABAO 500

Kama mchezaji akitaka kufikisha idadi ya mabao 500 katika timu moja, anahitajika kuwa mtulivu kwa kiasi kikubwa, Messi alifanya hivyo kwa kifukisha idadi hiyo ya mabao Aprili mwaka 2017.

KUFIKISHA MABAO 650

Hakuna aliyewahi kuota kwamba anaweza kufikisha idadi ya mabao 650 katika timu moja, lakini Messi alifikisha kwa juhudi zake binafsi.

Messi alifikisha idadi hiyo ya mabao mwanzoni mwa mwaka na kuipiku rekodi ya Pele aliyewahi kuiweka ya kufunga mabao 643.

Messi anaondoka Barcelona, akiwa na rekodi mpya baada ya kufunga mabao 672.

BARCELONA, Hispania

 

Previous Post

WANAKIJIJI WACHOMA GARI LA HALMASHAURI

Next Post

WATATU WAUAWA KIKATILI PWANI

admin

admin

Next Post
WATATU WAUAWA KIKATILI PWANI

WATATU WAUAWA KIKATILI PWANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved