Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

MAJALIWA ATAKA MADINI YAINUE UCHUMI

admin by admin
September 23, 2021
in Habari Kitaifa
0
MAJALIWA ATAKA MADINI YAINUE UCHUMI

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Geita wakati akifungua maonesho ya nne ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika kwenye uwanja wa EPZ Mjini Geita.

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, imedhamiria kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinachangia katika kuinua uchumi wa Watanzania.

Aliyasema hayo, baada ya kuzindua Maonyesho ya Nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya madini mkoani Geita, kuwa maonyesho hayo yamekuwa na manufaa makubwa katika kuhamasisha wananchi kujihusisha na shughuli za madini.

Alisema serikali ya awamu ya sita, itaendelea kufanya marekebisho ya baadhi ya kanuni na taratibu zinazosimamia uchimbaji na biashara ya madini, kwa lengo la kuwezesha wananchi na wadau wengine kushiriki ipasavyo katika uchumi wa madini na kuongeza uwekezaji.

Hata hivyo, Majaliwa aliwataka wadau wa sekta ya madini nchini wazingatie na wafuate sheria, kanuni, taratibu na miongozo inayosimamia sekta hiyo, ili kuondoa usumbufu na kurahisisha utendaji wa shughuli zao na serikali, kwa manufaa ya pande zote.

Alisema sekta ya madini imeendelea kutoa mchango mkubwa katika uchumi wa taifa na maendeleo ya mtu mmoja mmoja nchini.

“Matarajio ya serikali ni kuongeza zaidi mchango huo kupitia shughuli za uchimbaji, uchenjuaji, usafishaji madini, usanifu madini na utoaji wa huduma katika shuguli za madini.

“Lengo la serikali ni kufungamanisha ustawi wa sekta ya madini kwa kuwezesha wananchi na wadau mbalimbali kushiriki ipasavyo katika uchumi wa madini na kuongeza uwekezaji, ili kukuza sekta nyingine za kiuchumi na huduma zikiwemo viwanda, ujenzi, usafirishaji, mawasiliano na nishati.

Waziri Mkuu alisema serikali

imeendelea kuweka mikakati ya kuimarisha Taasisi ya Jiolojia Tanzania (GST) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), ili zitoe huduma bora na nafuu kwa wachimbaji wadogo pamoja na uchorongaji wa miamba kwa lengo la kujua uwepo na wingi wa mashapo.

Alisema hatua hiyo itasaidia wachimbaji wadogo kuendesha shughuli zao kwa tija na uhakika, hivyo kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi.

“Natoa wito kwa wachimbaji kutumia taasisi hizi ili muweze kupata taarifa za mashapo ya madini na kuchimba kwa uhakika.

“Katika hili, ninaielekeza Wizara ya Madini ihakikishe suala la Local Content (kipengele cha ushirikishwaji wa wazawa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati), linasimamiwa kikamilifu. Makampuni yote makubwa yatumie huduma za GST na STAMICO isipokuwa pale ambapo itathibitika wameshindwa ndipo waagize nje,” aliagiza.

Majaliwa alisema serikali itaendelea kuimarisha sekta ya madini nchini, ili kuiwezesha kufikia lengo la kuchangia asilimia 10 ya pato la taifa ifikapo mwaka 2025. “Ni ukweli usiopingika kwamba suala hili litafanikiwa endapo wadau wote tutashirikiana kuanzia hatua ya utafutaji, hadi biashara ya madini.”

Alitumia fursa hiyo kutoa rai kwa vijana, wanawake na Watanzania wote kwa ujumla, kuchangamkia fursa zilizopo na zitakazojitokeza katika maeneo mbalimbali ya miradi ya madini nchini, ili kujikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi.

“Nyote mtakubaliana nami kuwa kuna miradi mingine mikubwa inatazamiwa kuanza hivi karibuni ukiwemo mradi wa Nyanzaga Mining uliopo Wilaya jirani ya Sengerema na mgodi wa madini ya Rare Earth Element uliopo Songwe. Kwa hiyo, jipangeni vizuri na mchangamkie fursa hizo.”

Kwa mujibu wa Waziri Mkuu Majaliwa, serikali katika mwaka 2021/2022 imefuta tozo ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa madini kutoka nje ya nchi yatakayouzwa katika masoko au kusafishwa nchini, kwa lengo la kuimarisha biashara baina ya nchi yetu na nyingine.

Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kutoa wito kwa wafanyabiashara na wachimbaji wa madini kote duniani, waje kwa wingi kusafisha, kuuza na kununua madini katika masoko ya Tanzania yaliyotapakaa nchi nzima.

“Najua hata ninyi wachimbaji wetu hapa baadhi yenu mna migodi nchi jirani, basi leteni madini yenu hapa muuze kwa uwazi na uhakika kwenye masoko yetu,” alisema.

Kwa upande wake, Waziri wa Madini Dotto Biteko, alisema Wizara ya Madini itaendelea kusimamia biashara ya madini nchini ili kuhakikisha ndoto ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuona Tanzania inakuwa kitovu cha biashara ya madini, inatimia.

Rais wa Muungano wa Wachimbaji Wadogo Tanzania, John Mbina aliipongeza serikali kwa namna inavyosimamia ukuaji wa sekta ya madini nchini.

“Wachimbaji wadogo wameendelea kuleta mapinduzi ya kikodi, mwaka jana walichangia sh. bilioni 180, hii ni ishara kwamba siku moja wachimbaji wadogo watasogea na kuwa wachimbaji wakubwa”

Awali, Waziri Mkuu alitembelea kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kinachomilikiwa na Mtanzania, kilichopo eneo la Bombambili ambapo alisema kuwa serikali itafanya jitihada ili kuhakikisha kiwanda hicho kinafanya kazi kama ilivyokusudiwa.

Waziri Mkuu aliyasema hayo baada ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa GGR, Sarah Masasi kuiomba serikali isaidie ili kiwanda hicho kinachotumia teknolojia ya kisasa kiweze kufanya kazi. Gharama ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ya kiwanda hicho ni sh. bilioni 28.

NA MUANDISHI WETU

Previous Post

Since 2006, we have served more than 15,000 worldwide

Next Post

WAZIRI AFUNGUKA UIMARA WA KATIBA

admin

admin

Next Post
WAZIRI AFUNGUKA UIMARA WA KATIBA

WAZIRI AFUNGUKA UIMARA WA KATIBA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved