Saturday, July 4, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

WITO WATOLEWA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI MABAYA YA ARDHI

Flora Bathromew by Flora Bathromew
April 16, 2024
in Habari Kitaifa
0
WITO WATOLEWA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI MABAYA YA ARDHI
Imebainishwa kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuwajengea uwezo watunga sera hasa makatibu wakuu
na Wabunge kuhusu athari za matumizi mabaya ya ardhikatika maeneo ya vyanzo vya maji, Mito na kandokando ya Bahari ili kuwa nauelewa wa pamoja wa athari hizo na mna ya kukabiliana nazo kwa manufaa ya Taifa na  vizazi vijavyo
Wito huo umetolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo
Prof. Raphael Chibunda wakati akifungua mafunzo ya siku saba kwa viongoziwaandamizi wanaosimamia masuala ya maji na mazingira kutoka nchi 10 za Afrika zilizo kwenye ukanda wa Magharibi mwa Bahari ya Hindi yanayofanyika Jijini
Mbeya kupitia mradi wa Utafiti wa Usimamizi Endelevu wa Madakio ya Maji Kupitia Tathmini ya Kuimarisha Mtiririko wa Maji kwa Mazingira na Utekelezaji
wake katika Kulinda Ukanda wa Magharibi mwa Bahari ya Hindi na Athari za Shughuli za Kibinadamu Tanzania (EFLOWS).
“Pamoja na kazi kubwa ambayo nyinyi kama wataalamu mnaifanya mwisho wasiku mtaandaa tarifa nzuri na kuwapelekea watunga sera ili waifanyie kazi, Lakinibila wao kuelewa vizuri kwa kina mnayoandika baada ya kufanya tafiti mtajikutataarifa zenu mnazowaandikia hazifanyiwi kazi kama mnavyotegemea hivyo kunaumuhimu mkubwa sana wa kujengeana uwezo nyinyi lakini pia kuwajengeauwezo pia watunga sera maana ndio mnaowategemea katika kutelekeza yalemnayowaplekea” Alifafanua Prof. Chibunda.
Amesema kuwa kuna tafiti nyingi sana zinafanyika kwenye nchi mbalimbali nahata Tanzania ambazo zinalenga kutatua changamoto fulani lakini matokeo yakehayaonekani moja kwa moja kwa jamii na Taifa kwakuwa wale wanaotegemewakuchukua matokeo hayo na kuyatumia pengine hawayatumii kwakuwa hawanauelewa wa kina na wakutosha kuhusu yale ambayo tafiti zimebainisha.
Amepongeza kazi kubwa iliyofanywa na Watafiti kutoka SUA kwa kushirikiana naBaraza la Taifa la Hifadhi ya mazingira NEMC katika utekelezaji wa Mradi waTathimini ya maji kwa mazingira ambao matokeo yake mazuri ndio yamepekekeaWataalamu hao kutoka nchi zote washiriki kuleta wataalamu wao kuja kujifunzana kupanga mikakati ya pamoja na kukabiliana na changamoto hizo zakimazingira.
Awali akieleza malengo ya mafunzo hayo Mtafiti Mkuu wa Mradi wa EFLOWSambaye pia ni Mkurugenzi wa Shahada za Uzamili, Utafiti, Uhauwilishaji wateknolojia na Ushauri wa Kitaalamu kutoka SUA Prof. Japhet Kashaigili amesema
utaalamu huo wa Tathimini ya maji kwa mazingira ambao umejengwa kupitiamradi huo imeonekana ni muhimu sasa kuweza kuusambaza kwa wataalamukwenye nchi hizo ili kuwa na uelewa wa pamoja wa kukabiliana na changamotohizo za kimazingira.
“Mradi wa EFLOWS ambao tumeufanya kwa miaka miwili Wilayani MbaraliMkoani Mbeya na Wanging’ombe Mkoani Njombe ulikuwa mradi wa mfanokuangali mtiririko wa maji na hali ya mto Mbarali matokeo yake yalilenga kupataelimu ambayo itatumiwa na nchi zingine 10 za afrika, hivyo baada ya kukamilikakwake sasa tumewaita wataalamu waandamizi kutoka nchi hizo kuja Tanzaniatujifunze na kubadilishana uzoefu kutokana na matokeo tuliyoyapata na kishakuja na maazimio ya pamoja ya namna ya kulinda ukanda wa magharibi mwaBahari ya Hindi kupitia mito na vyanzo vyake” alifafanua Prof. Kashaigili.
Aidha amesema kuwa changamoto nyingi za kimazingira zinazoonekana sasa duniani ni matokeo ya shughuli za kibindamu ambazo zinagusa sekta mbalimbalihivyo kutatua changamoto hizo ni lazima kuwe na jitihada za pamoja za kila mdaukwenye sekta hizo na ndio maana wanawajengea uwezo kutambua na kuwekamikakati ya pamoja ili kupata matokeo makubwa kwa wakati.
Kwa upande wake Wakili wa Serikali Mkuu kutoka ofisi ya Makamu wa RaisBwana Wankyo Mnono amesema mafunzo hayo ni muhimu kwa nchi zotewanachama kwakuwa ulinzi wa Ikolojia ya Bahari ni muhimu kwa ustawi waviumbe na maisha ya watu maisha yao yanategemea rasilimali zinazopatikanabaharini.
“Tunatumia samaki na viumbe maji vingine kutoka Baharini na kwenye mito hivyoswala la ulinzi wa ikolojia ya maisha ya samaki na viumbe vingine ni muhimu kwakuweka mipango na mikakati mizuri ya kuvilinda ili viendelee kutoa mchango kwajamii na taifa vizazi hadi vizazi lakini hilo litawezekana kama kutakuwa naushirikiano kwa nchi zote zilizo ukanda wa magharibi mwa bahari ya Hindi”alieleza Bwana Wankyo.
Amesema kwa kutambua umuhimu wa kulinda Bahari na ikolojia yake Serikali yaTanzania inatarajia kutekeleza mradi mdogo wa utafiti utakaoangalia hali namadhara ya matumizi ya mifuko na vifungashio vingine vya plastiki ili kupatataarifa ambazo zitasaidia nchi kufanya maamuzi muhimu ya namna ya kukabilianana athari zinazotokana na matumzi ya plastiki kwenye bahari na nchi kavu.
Akitoa salamu kutoka Sekretarieti ya Azimio la Nairobi ambao ndio wafadhili wamradi huo Bwana Sammy Weru ameishukuru Serikali ya Tanzania na Chuo kikuucha Sokoine cha Kilimo kwa kuwezesha kufanyika kwa mafunzo hayo ya Kikandaambayo yana mchango mkubwa katika kulinda na kusimamia ukanda huo wabahari ya Hindi.
“Tunajisikia furaha kufanya kazi na SUA katika kutelekeza miradi mbalimbaliyenye tija kubwa kwa nchi zetu, na ninaamini kuwa kupitia mafunzo hayatutatengeneza miongozo ya namna kusimamia masuala ya tathimini ya maji kwamazingira lakini bila kusahau kuzingatia dhana ya “kutoka Chanzo hadi baharini”katika kuhakikisha usalama wa viumbe maji na ikolojia zao” alieleza Bwana Weru.
Mradi wa Utafiti wa Usimamizi Endelevu wa Madakio ya Maji Kupitia Tathmini ya Kuimarisha Mtiririko wa Maji kwa Mazingira na Utekelezaji wake katika Kulinda Ukanda wa Magharibi mwa Bahari ya Hindi na Athari za Shughuli za Kibinadamu.
Tanzania (EFLOWS) unatekelezwa na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la hifadhi ya mazingira NEMC na wad au wengine kwa ufadhili wa Sekretarieti ya Azimio la Nairobi.
Previous Post

PATA TAARIFA MOTOMOTO KUTOKA KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 16, 2024

Next Post

TAMASHA KUBWA LA MIAKA MITATU YA KISHINDO CHA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN ''KAZI INAONGEA''

Flora Bathromew

Flora Bathromew

Next Post
TAMASHA KUBWA LA MIAKA MITATU YA KISHINDO CHA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN ”KAZI INAONGEA”

TAMASHA KUBWA LA MIAKA MITATU YA KISHINDO CHA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN ''KAZI INAONGEA''

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved