Sunday, July 5, 2026
[gtranslate]
UMG
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • MAGAZETI
    • UELEKEO
  • UMG DIGITAL
  • UELEKEO DIGITAL
    • Instagram
    • Facebook
    • Twitter
    • Youtube
  • Mwanzo
  • UMG
  • Siasa
    • All
    • Business
    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    SHIRIKA LA OMUKA HUB NA NDI WAANDAA MAJADILIANO YA JUKWAA LA WANAWAKE KATIKA SIASA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    WAZIRI JAFO ATETA NA WAKUU WA MIKOA

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU MWENYEKITI UVCCM AWAJIA JUU WANAOWACHAFUA VIONGOZI

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    MAKAMU WA RAIS DK. PHILIP MPANGO AKIONDOKA NCHINI ANGOLA

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    FORBES YAMTAJA TENA RAIS SAMIA.. “NI MIONGONI MWA WANAWAKE 100 WENYE UWEZO MKUBWA DUNIANI”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • Biashara
    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    WAJASIRIAMALI WASHAURIWA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA NJOMBE

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    SHERIA YA LOCAL CONTENT INAVYONUFAISHA WAWEKEZAJI WAZAWA GGML

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • Burudani
    • All
    • Sports
    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    YANGA YAMNYATIA ABIALA KUTOKA CONGO DR

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

    SIMBA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3-0

  • Michezo
    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    SERIKALI YAAHIDI KUWAPELEKA MASHABIKI WA YANGA AFRIKA KUSINI

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    YANGA SC YAACHANA NA MOLOKO

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    TFF YAUFUNGIA UWANJA WA UHURU

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    BENCHIKHA; MCHEZO WA KESHO UTACHORA RAMANI KUELEKEA LIGI YA MABINGWA AFRIKA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

    Trending Tags

    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
No Result
View All Result
UMG
No Result
View All Result

RAIS SAMIA ANG’ARA TENA

>>Ripoti ya Benki ya dunia yaanika mwelekeo mzuri wa Tanzania, kiuchumi, kijamii chini ya uongozi wake

admin by admin
March 2, 2022
in Habari Kitaifa
0
RAIS SAMIA ANG’ARA TENA

RAIS Samia Suluhu Hassan

BENKI ya Dunia (WB), imetangaza kupungua kwa kiwango cha umasikini nchini kutoka asilimia 27.1 mwaka 2020 hadi asilimia 27.0 mwaka 2021, huku ikipongeza juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, kuondoa matabaka ya jinsia katika fursa za maendeleo ambazo ni siasa, uchumi na jamii.

Huo ni mwendelezo wa mafanikio ya Rais Samia, ambapo tayari amekuwa akitajwa kuweka mazingira mazuri ya kisera katika biashara, kuimarisha diplomasia ya uchumi na mapambano ya kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19.

Mwenendo huo wa hali ya umasikini ilitolewa na Mkurugenzi wa WB kwa nchi za Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe, Dk. Mara Warwick, wakati wa uzinduzi wa Taarifa ya 17 ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania, yenye kaulimbiu ya ‘Uwezeshaji wanawake: Kupanua ufikiaji wa rasilimali na fursa za uchumi’.

Dk.Mara alieleza hatua hiyo ni matokeo ya juhudi zilizochukuliwa katika kukabiliana na janga la Uviko-19,ikiwemo ya mpango wa chanjo kwa wananchi ambao umesababisha shughuli za uchumi kuendelea kuimarika nchini.

MWELEKEO WA GDP

Kuhusu mwelekeo wa ukuaji wa Pato la Taifa (GDP), Dk. Mara alisema sekta ya malazi na migahawa, madini na umeme zilichangia kuongezeka kwa kasi ya ukuaji wa pato hilo, kwa robo mwaka katika robo ya tatu ya mwaka jana.

Kwa mujibu wa Dk. Mara, juhudi nyingine zilizofanywa ni maboresho katika uzalishaji wa saruji, umeme, mikopo ya sekta binafsi, mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi, uagizaji wa bidhaa zisizo za mafuta kutoka nje, mawasiliano ya simu, uhamaji na kuwasili kwa watalii.

“Kwa sababu ya maendeleo haya chanya, Benki ya Dunia inakadiria kiwango halisi cha ukuaji wa Pato la Taifa cha asilimia 4.3 na kiwango cha ukuaji wa Pato la Taifa cha asilimia 1.3 mwaka 2021, kufuatia kupungua kwa Pato la Taifa kwa asilimia 1.0 mwaka 2020,” alisema.

VITA DHIDI YA UVIKO

Aliishauri serikali kuimarisha mwitikio wake katika janga la Uviko-19, katika muda mfupi kwa kushirikiana na sekta binafsi katika muda wa kati hadi mrefu.

Aidha, Dk. Mara alifafanua kwamba hatari kwa mtazamo wa kiuchumi wa Tanzania zimepungua, lakini hilo litaimarika zaidi iwapo sekta binafsi itashirikishwa vyema.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkazi wa WB, mpango wa utoaji chanjo ya Covid-19 kwa wananchi umechochea kuongezeka kwa biashara, ushirikiano wa kikanda na mageuzi ya sera iliyoundwa kuboresha mazingira ya biashara na kusaidia ukuaji wa sekta ya binafsi.

Dk. Mara alisisitiza kuna umuhimu wa serikali kuimarisha juhudi katika kukabiliana na janga la Uviko-19, ili kuwezesha kuondolewa kwa vikwazo vya usafiri katika baadhi ya nchi na hatimaye sekta ya utalii kuimarika zaidi.

Aliongeza kwamba, taarifa hiyo inalenga kuwawezesha wanawake kiuchumi na kuongeza upatikanaji wa rasilimali za uzalishaji mali.

USAWA WA KIJINSIA

“Sasa ni wakati wa Tanzania kuchukua hatua, Rais Samia Suluhu Hassan, ameweka dira ya kimkakati yenye matarajio ya mbele kwa ajili ya kuwawezesha wanawake wa Tanzania. Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2025 pia inasisitiza usawa wa kijinsia katika nyanja zake za kijamii, kiuchumi na kisiasa,”alisema.

Alieleza kwa Tanzania ushiriki wa wanawake katika nguvu kazi umeongezeka kutoka asilimia 67 mwaka 2000, hadi asilimia 80 mwaka 2019, juu ya wastani wa asilimia 63 kwa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara (SSA).

Dk. Mara alisema pamoja na juhudi zinazofanywa na serikali lakini bado, wanawake nchini wanakumbwa na vikwazo hasa katika upatikanaji wa ardhi na rasilimali, jambo ambalo linaathiri tija yao katika uchumi.

Alibainisha kwamba asilimia 25 ya wanaume nchini ndiyo wamiliki pekee wa ardhi, ikilinganishwa na asilimia nane ya wanawake, huku makadirio yakionyesha asilimia 42 ya wanawake nchini ndiyo wenye uwezo wa kuzifikia akaunti za benki, wakati wanaume ni asilimia 52.

“Inakadiriwa kuwa asilimia 22 ya wanawake wa Tanzania wanajishughulisha na ajira za ujira, ikilinganishwa na asilimia 48 ya wanaume. Kati ya wafanyakazi wanaolipwa mishahara wanawake hupata senti 88 pekee kwa kila dola inayopatikana kwa wanaume,” alisema.

Alisema hata katika sekta ya kilimo uzalishaji wa wanawake ni kati ya asilimia 20 na 30 tu, kutokana na kuwa na shughuli nyingi za kifamilia, kukosa zana za kilimo na pembejeo.

“Makadirio yanaonyesha kuwa kuziba pengo la kijinsia la masharti katika tija ya kilimo kunaweza kuwainua takriban Watanzania 80,000 kutoka katika umaskini kila mwaka huku kukiongeza pato la kilimo kwa mwaka kwa asilimia 2.7 na kukuza Pato la Taifa kwa asilimia 0.86,” alisema.

Ili kuimarisha uwezo wa wanawake, Dk. Mara alisema taarifa hiyo inapendekeza waboreshewe ujuzi kupitia fursa zilizopanuliwa za uanagenzi na programu za mafunzo.

Alitaja nyingine ni kuimarisha haki za ardhi za wanawake kwa kutoa ruzuku ya hati miliki ya ardhi kwa kaya na motisha ili kuwahimiza wanandoa kumiliki ardhi pamoja, kupanua uwezo wa wanawake kutumia pembejeo za kilimo, teknolojia za kidijitali ili kuboresha uzalishaji wa kilimo kwao.

Pia, alisema wanawake waimarishiwe uwezo wa kusimamia fedha zao za kibinafsi na za biashara, kukomesha ndoa za watoto, na kutoa usaidizi wa malezi ya watoto ili kuruhusu na kuhimiza ushiriki mkubwa wa wanawake katika nguvu kazi.

“Jambo jingine ni kutekeleza sheria zinazowalinda wanawake dhidi ya ukatili,” alisema.

Ripoti hiyo ni ya 17 kutolewa ambapo hutolewa kila baada ya miaka miwili, ikiangalia mambo mbalimbali, ambapo ripoti ya 16 iliangalia mageuzi ya kimfumo katika sekta ya utalii, ili iwe endelevu.

NA JUMA ISSIHAKA

Previous Post

DK. SHEIN AWAPA SOMO LA UCHAGUZI WANA CCM

Next Post

KIBANO CHAJA KWA WEZI KWA BODABODA

admin

admin

Next Post
KIBANO CHAJA KWA WEZI KWA BODABODA

KIBANO CHAJA KWA WEZI KWA BODABODA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Instagram Youtube Twitter Facebook

Browse by Category

  • ! Без рубрики
  • 1
  • 2
  • 231
  • Afya Makala
  • autohenriquesevale.pt
  • best casino
  • Best online casino
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • Business
  • Casino
  • Casino No Deposit Bonus
  • Casino UK
  • casino1
  • casino2
  • casino3
  • casino4
  • curapractic-kerpen.de
  • Forex News
  • gambling platform
  • gambling platforms
  • Gry
  • gry hazardowe
  • HABARI KIMATAIFA
  • Habari Kitaifa
  • Habari Picha
  • Kasyno Polska
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI
  • MAHAKAMANI
  • MAKALA
  • MAKALA AFYA
  • MAKALA-BURUDANI
  • mew casino
  • MICHEZO
  • MICHEZO KIMATAIFA
  • MICHEZO KITAIFA
  • MICHEZO-MAKALA
  • MICHEZO-MASUMBWI
  • MITINDO
  • Nasi Partnerzy
  • new casino
  • niam.cl
  • non gamstop casinos
  • Nos partenaires
  • OM cc
  • Online Casino
  • Online Kasyno
  • Our Partners
  • Partners
  • Post
  • Pozyczki
  • Prestamos
  • Public
  • ready_text
  • RIWAYA
  • sanodelucas.cl
  • SIASA
  • Slots
  • Sports
  • test
  • The best new online casino
  • The best online casino and sportsbook
  • UK Casino
  • Uncategorized
  • Unsere Partner
  • veterinariarepublica.cl
  • wildbeauty.cl
  • www.kuss.cl
  • Микрокредит
  • Наши Партнеры

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved

No Result
View All Result

© 2020 Uhuru Media Group. All rights reserved